Language

Thursday 9 May 2013

MOYES KOCHA MPYA MAN UTD


Uongozi wa Old Trafford umetangaza rasmi na kuthibitisha kuwa David Moyes atakuwa meneja mpya wa timu hiyo kuchukua nafasi ya Sir Alex Ferguson atakayestaafu mwishoni mwa msimu huu.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka Old Trafford mchana wa leo, David Moyes amepewa mkataba wa miaka sita wa kuifundisha Manchester United kuanzia msimu ujao.

Sunday 5 May 2013

KAMA UNAFUATILIA MPIRA WA SPAIN, HIZI NDIO MECHI ZITAKAZOCHEZWA KATIKA VIWANJA VYAO LEO MAY 5


RATIBA YA MECHI KALI ZA LEO ENGLAND


DOWNLOAD HAPA WIMBO MPYA WA AY NA FID Q-JIPE SHAVU

JINSI BASI LA TAQWA LILIVYOUWA 7 NA KUJERUHI VIBAYA ZAIDI YA 20 IRINGA


Abiria saba waliokuwa wakisafiri na basi la kampuni ya Taqwa lenye namba za usajili T 273 CDR kutoka jijini Dar es Salaam kwenda Malawi wamekufa papo hapo na wengine zaidi ya 20 kujeruhiwa vibaya katika ajali iliyotokea jioni jana katika eneo la Nyololo wilaya ya Mufindi mkoani Iringa. 
Mmoja kati ya mashuhuda aliyejitambulisha kwa jina la Dkt Matatala alisema kuwa ajali hiyo imetokea JANA mida ya saa 11 jioni wakati basi hilo likitokea Dar es Salaam kwenda
nchini Malawi. 
Alisema kuwa chanzo cha ajali hiyo ni lori lenye namba za usajili T 104 DZZ ambalo lilikuwa likitokea Makambako kuelekea Iringa,lori lililokuwa likijaribu kulipita lori lenye namba za usajili T 227 AVC na kushindwa kupita na kuishia kugongana uso kwa uso na basi hilo ambalo pia lilikuwa likija kwa mwendo wa kasi. 
Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo wamesema kuwa ajali hiyo imetokea katikati ya mji wa Nyololo ambapo ni jirani kabisa na eneo lenye matuta ya kuzuia magari kwenda kwa mwendo kasi.
 Alisema kuwa hadi majira ya saa 12.45 jioni maiti tano zilikuwa zimetolewa katika basi hilo la Taqwa na kuwa jitihada za wasamaria wema kutoa maiti na majeruhi katika eneo hilo zimeendelea kufanyika. 

Saturday 4 May 2013

ITAZAME VIDEO MPYA YA JUSTIN BIEBER NA WILL.I.AM-THAT POWER

JUSTIN BIEBER AND USHER: SUED! FOR $10 MILLION!


In his personal life, it's rather clear that Justin Bieber has found somebody to love once again: Selena Gomez.
In his professional life, however, the global superstar and his very good friend are now in legal trouble for allegedly NOT having somebody to love before Devin Copeland came along.
Allow us to explain..

Copeland has filed a $10 million lawsuit against Bieber and Usher, claiming that the duo infringed on his copyright when releasing the 2010 smash single.
Copeland and writing partner Mareio Overton say they brought their track to Usher in 2008 and that he outright stole it when he helped to include it on Bieber's "My World 2.0."
"Without any authority or consent," the suit states, "[Manager Jonetta Patton] and Usher

KAMA HUKUFANIKIWA KUPATA HABARI JANA, HIZI NDIO HABARI KUBWA ZA KIMATAIFA ZA MAY 4


Damascus hit 'by Israeli strikes' Saturday, May 04, 2013 8:36:55 PM
Syrian state TV says Israeli rockets have hit an army research centre near Damascus, as huge explosions shake the outskirts of the capital.
Malaysia in closely contested vote Saturday, May 04, 2013 6:57:26 PM
Malaysians go to the polls in what is widely seen as the most closely contested general election in their country's history.
Brazilian team in 'Taliban' row Saturday, May 04, 2013 3:46:46 PM
Current Brazilian champions Fluminense asks fans and players to stop posting photos online with their faces covered in 'Taliban warrior' style.
Sudan tribal leader killed in Abyei Saturday, May 04, 2013 9:37:38 PM
A senior tribal leader in Abyei, an area claimed by both Sudan and South Sudan, is shot dead in a stand-off involving a rival Arab militia.
Historian sorry for 'gay' remark Saturday, May 04, 2013 3:02:28 PM
Harvard historian Niall Ferguson apologises for saying John Maynard Keynes did not care about society's future because he was gay and childless.
Iraqi PM coalition in election lead Saturday, May 04, 2013 4:36:03 PM
A coalition led by Iraqi PM Nouri Maliki wins the most seats in seven of 12 provinces, in the first elections since US troops withdrew in 2011.
Southern California wildfire eases Saturday, May 04, 2013 7:47:50 PM
A fierce wildfire threatening thousands of homes in southern California is being contained thanks to cooler, wetter winds, firefighters say.
Deadly toxic train fire in Belgium Saturday, May 04, 2013 10:34:11 AM
Two people die and 14 others are injured as a train carrying toxic and flammable chemicals derails, causing a major fire near the Belgian city of Ghent.
Seven Nato troops die in Afghanistan Saturday, May 04, 2013 2:56:55 PM
Seven soldiers Nato serving in Afghanistan have died in two attacks, the alliance says, days after the Taliban launched their annual spring offensive.
Bombs hit Pakistan party's office Saturday, May 04, 2013 12:14:01 PM
Three people are killed and several wounded by twin bombs near the offices of a Pakistani secular political party in the city of Karachi.



TAZAMA MATOKEO YA MECHI ZA MAY4 HAPA


JASIRI HAACHI ASILI YAKE


GUINEA HAKUKALIKI


Watu kama watatu wameuwawa nchini Guinea katika mapambano baina ya polisi na waandamanaji waliodai uchaguzi huru na wa haki.
Ghasia zimekuwa zikiendelea kwa siku ya pili katika mji mkuu, Conakry.
Afisa mmoja wa upinzani alieleza kuwa waliokufa walikuwa wafuasi wa upinzani.
Upinzani nchini Guinea unasema Rais Alpha Conde hakuwashauri kabla ya kutangaza siku ya uchaguzi wa wabunge kuwa tarehe 30 Juni.
Upinzani unataka wafuasi wake wafanye maandamano hadi rais afute uchaguzi huo.
Rais Conde alishika madaraka mwaka wa 2010 baada ya uchaguzi wa kwanza wa kidemokrasia tangu mwaka 1958.
Lakini uchaguzi wa wabunge uliopangwa kufanywa mwaka wa 2011 umekuwa ukiahirishwa kwa sababu wanasiasa wameshindwa kuwafikiana.

NO CAPTION!!!


Friday 3 May 2013

IANGALIE VIDEO MPYA YA PSY - GENTLEMAN (Music Video) HAPAHAPA

ITAZAME HAPA VIDEO MPYA RAY J- "I HIT IT FIRST" (Official Music Video)

MAMBO MAKUBWA YANAYOWEZA KUFANYA UKACHUKIWA NA MPENZI WAKO


WAKATI mwingine huwa unajisikia kumchoka mpenzi wako, kuchukua jukumu la kumuacha wako mpenzi, kumkaripia wako mpenzi, kumuona kama anakasoro fulani hivi, kumuona hakufai au hafai kuishi na wewe ikiwa pamoja na kutamani kuoa au kutafuta mwingine mpenzi.
Yote haya mambo huwa yanatokea kwa binadamu wa jinsia zote. Sasa nakuuliza kwanini unafikia hatua ya kufanya mambo kama hayo? Kama kweli uliamua kumpenda mpenzi wako ya nini tena kumchukia na kumuona hakufai?
 
Watalaam wa masuala ya mapenzi wanabainisha kuwa kumchukia mpenzi kunasababishwa na vitu vingi sana, ambapo mwanasaikolojia na mtaalam wa masuala ya love Haliet Julliu alifafanua katika kitabu chake cha "Bad Love - 2008" kuwa jambo la kwanza ambalo linamfanya mpenzi wako kukuchukia ni:
 
i)Uchafu wa mwili wako pia unapokuwa mchafu ndio unaongeza hatari ya kuchukiwa na mpenzi wako.
ii)Uchafu wa nyumba au chumba ambacho unakaa na mpenzi wako hasa hili linawahusu mwanawake, jambo hili huwa linawakera wanaume.

MATOKEO YA MECHI ZA MAY 3 HAYA HAPA


GAZETI LA IJUMAA LA LEO LIMEBEBA HABARI HIZI; WOSIA KIFO CHA JIDE;WEMA AJINUNULIA MASHINE YA KUFANYIA MASAJI


KAMA NA WEWE UNASUMBULIWA TATIZO LA KUMALIZA MAPEMA KATIKA TENDO LA NDOA, PATA SULUHISHO HAPA


Takwimu zinaonesha kuwa zaidi ya Robo (25%) ya wanaume duniani kote husumbuliwa na tatizo la kuwahi kufika kileleni wakati wa tendo la ndoa na kushindwa kurudia tena mchezo!

Sababu ya tatizo hili huweza kuwa ya Kibaiolojia na Kiakili. Kama wewe pia ni moja yao na unapenda kujua jinsi ya zuia hali hii, endelea kusoma.

• Jenga tabia ya kufanya mazoezi:
Mwili wenye afya nzuri daima hufanya kazi vizuri, kwahiyo kitu rahisi cha kufanya ni kujenga tabia ya kufanya mazoezi ambayo husaidia kukujengea afya njema na kukupa mzunguko mzuri wa damu. Kama una mwili wenye afya basi inaweza kukusaidia kwa namna ya kifikra ambazo huchangia kwenye swala zima la kuwahi kupizi. Hii hutokana na hutokana na kuongeza kujiamini na kujihusudu.
 • Pumua vizuri na kikamilifu:
Kiungo chochote cha mwili huhitaji nguvu kamili ili kufanya kazi na ndivyo ilivyo kwa habari ya viungo vya uzazi! Unapo pumua vizuri na kwa ukamilifu, kiungo hiki hupata nguvu za ziada. Mbinu mbalimbali za kupumua kama pranayama hujajwa kusaidia sana kujifunza jinsi ya kuzuia kupizi mapema. Baada ya kuinza tu (wakati wa tendo), jaribu kupumua kwa ufasaha ili mwili uweze kupata hisia kabla ya kuanza kufanya msuguano.
 • Mshirikishe mwenzako kikamilifu:
Kuridhika kimapenzi ni tukio ambalo wote wawili mnaridhika kikamilifu. Ili kujifunza kujizuia kukojoa haraka, ni vizuri kuwasiliana na mwenzi wako wa kimapenzi. Anaweza akakusaidia kushinda tatizo hili la kiaibu, kila unapohisi unataka kukojoa mapema, sema 'ngoja' na usitishe kwanza shughuli zote kwa muda kidogo.

JOSE MOURINHO MOVES CLO TO CHELSEA RETURN AS REAL MADRID COACH LOWERS DEMAND


Mourinho’s representatives have re-opened a dialogue with the Premier League club over the past few days in the hope that Roman Abramovich can finally be persuaded to take back the manager who left amid acrimony in September 2007, although no deal has yet been agreed. 
As Chelsea’s search for a manager to replace Rafael Benítez intensified, so too did their attempts to revitalise their playing squad. It is believed that Chelsea have made another move to eventually sign Brazilian striker Neymar, with technical director Michael Emenalo having travelled to Brazil to watch him play.
Although there is a groundswell of support from within Chelsea for Mourinho to return, it is believed that Abramovich, the club’s owner, has proved more reluctant as he did not enjoy the aggravation around the manager. He also gave Mourinho an £18 million pay-off.
This time Mourinho is understood to have initially demanded a salary of £12 million a year, a get-out if Chelsea fail to finish in the top four and, most crucially, control of transfers in the belief that the club would simply welcome him back. These demands were rejected.

UKAME ULIUWA ZAIDI YA WATU 260,000 SOMALIA


Takriban watu 260,000 walifariki dunia wakati wa ukame ulioikumba Somalia kuanzia mwaka 2010 hadi 2012, utafiti umebaini.

Nusu ya waliofariki dunia walikuwa ni watoto wenye umri chini ya miaka mitano, inaeleza ripoti ya shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO, pamoja Mtandao wa Kuonya Mapema Kuhusu Majanga ya Ukame unaofadhiliwa na Marekani.
Idadi ya vifo ilikuwa kubwa kuliko ile iliyokadiriwa ya watu 220,000 waliofariki wakati wa ukame wa mwaka 1992.
Janga hilo lilisababishwa na ukame mkali, uliochochewa na mapigano kati ya makundi hasimu yaliyokuwa yakigombea madaraka.
Umoja wa Mataifa kwa mara ya kwanza ulitangaza hali ya ukame Julai 2011 katika mikoa ya Somalia ya Bakool uliopo kusini na ule wa chini wa Shabelle, ambayo ilikuwa inadhibitiwa na kundi la wanamgambo wa Al – Shabab wenye mafungamano na Al – Qaeda.
Lakini kundi hilo lilikanusha kuwepo kwa hali hiyo na kuyapiga marufuku mashirika kadhaa ya misaada ya nchi za magharibi kufanya shughuli zake katika maeneo hayo.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...