Language

Sunday 13 January 2013

HABARI: WANNE WAFA SOMALIA


Wakaazi wa mji mmoja wa kusini mwa Somalia wanasema raia wanane waliuwawa katika jaribio lilofanywa na makamando wa Ufaransa kumkomboa mwananchi mwenzao aliyezuwiliwa na wapiganaji. 

Ramani ya mji wa Bulo Marer

Wengine walikufa katika mapambano ya risasi.
Mwanajeshi mmoja wa Ufaransa alikufa Jumamosi kwenye operesheni hiyo na mwengine ametoweka.
Wapiganaji wa Kiislamu wa Al Shabaab ambao walikuwa wanamzuwia askari wa ujasusi wa Ufaransa walisema afisa huyo yuhai, lakini Ufaransa inasema pengine aliuwawa.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...