Language

Tuesday 26 February 2013

KUTOKA KATIKA IN BOX YA SIMU YANGU

"Tahadhari...Kundi la waislamu toka Dar es salaam tayari limewasili mikoani kwa ajili ya kuja kubomoa na kuchoma makanisa. Tunatakiwa kuwa makini tuwapo makanisani hata katika kazi zetu. Usipuuze, ni taarifa toka jimbo kuu la Dar es salaam. Wajulishe mapadri, watawa, makatekista, wachungaji, wainjilisti na wakristo wote...nakutakia asubuhi njema na MUNGU akubariki"

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...