Language

Sunday 31 March 2013

WANAJESHI WA JESHI LA KENYA WALIOKUWA WAKIZUIA GHASIA NCHINI HUMO ZILIZOZUKA MWISHONI MWA WIKI HII


TIGER WOOD BINGWA WA GOFU KWA MARA NYINGINE TENA

Mchezaji nyota wa Gofu wa Marekani Tiger Woods amewika tena baada ya kunyakuwa ubingwa katika mchezo huo hapo jana, hii ikiwa ni mara ya kwanza tangu nyota yake ilipoanza kuburuza mkia.
Ushindi wa Woods mwenye umri wa miaka 37 umempa nafasi ya kunyakuwa tena taji lake na kushika nafasi ya kwanza katika mchezo huo, taji lilokuwa likishikiliwa na mpinzani wake Rory McIlroy.
"Nimecheza vizuri, na ushindi huu unatokana na kutia bidii zaidi katika kazi yangu na kuwa na subira" alisema Woods. Ushindi wa jana Jumatatu umempatia nyota huyo wa gofu kitita cha euro milioni 1.08 million.
Baada ya Woods kukabiliwa na kashfa ya kimapenzi iliyozua sintofahamu kati yake na mkewe miaka mitatu iliyopita na hata majeraha ya mguu aliopata yalimfanya kuvuta mkia katika mchezo huo wa gofu ambao tangu alipoanza kuucheza mwaka wa 1997 amewaki kupata ushindi kwa mara 77.
Novemba 11 mchezaji huyo alishuka katika kiwango cha chini kabisa na kuwa nafasi ya 58 duniani. Masaibu yake yalianza mwaka wa 2009 baada ya gazeti moja la udaku nchini Marekani kuandika kuhusu mahusiano yake na meneja wa klabu moja nchini humo. Siku mbili baadae kufuatia maswali mengi kuhusu ndoa yake, Wood alipata majeraha kutokana na kupata ajali karibu na nyumbani kwake.
Disemba mwaka huo Tiger Woods alitoa taarifa akikubali kuwa alikuwa na mahusiano nje ya ndoa yake na kutangaza kuwa anapumzika kutoka kwa mchezo huo wa Gofu. Baadaye alirudi uwanjani mwaka wa 2010, lakini ndoa kati yake na mwanamitindo wa zamani Elin Nordegren, ilikuwa imeshavunjika.
Wiki iliopita Woods alitangaza kuwa na mahusiano mapya na Lindsey Vonn Mmarekani ambaye ni mchezaji wa mchezo wa kuteleza kwenye barafu.

KATI YA TRACKS MPYA HII NDIO IMEKUWA MOST SHARED KATIKA MITANDAO, ICHUKUE HAPA BANDS ON TOP OF BANDS YA SHOOW

STARTED FROM THE BOTTOM LYRICS-DRAKE


"Started From The Bottom"
Started....Zombie in the track....

[Chorus]
Started from the bottom now we're here
Started from the bottom now my whole team fucking here
Started from the bottom now we're here
Started from the bottom now the whole team here, nigga
Started from the bottom now we're here
Started from the bottom now my whole team here, nigga
Started from the bottom now we're here
Started from the bottom now the whole team fucking here

PITBULL NA TATTOO YA MBWA MKONONI KWAKE


Ernesto Rodriguez has chosen an unusual way to show affection for his pitbull, Duchess.
The disabled Iraq war veteran posted a photo to Facebook this week of a tattoo on the canine's belly. It is a crest meant to signify its bloodline and it has drawn the ire of many animal lovers around the country.
"I love my dogs," Rodriguez told WXII12-TV in Winston-Salem, explaining that Duchess was asleep and sedated when inked.
"There's people out there saying that I'm cruel, that I hurt my dogs, that I don't love my dogs ... that I should be in jail. I paid a lot of money for my dogs and I take care of them."
Having been made aware of the incident, the Stokes County Health Department and Animal Control department visited the owner and did not file any charges.
"What a waste of tax payers money," Rodriguez wrote on Facebook in response to that visit. "So I'm still gonna tattoo my dogs whenever I del like it… good try, haters, thanks for all the advertisement."
And it could be worse, really. Rodriguez could have gotten himself a face tattoo after just one date.
What do you think? Is it wrong to tattoo one's pet?

HUYU NDIYE NANCY SUMARY, MWANAMKE ANAYEJIAMINI


MREMBO wa Tanzania wa 2005, Nancy Sumari amesema kufanya kitu bila kuogopa kushindwa ndio siri ya kufanikiwa kwake katika mambo mbalimbali.

Akihojiwa katika kipindi cha Makutano kilichorushwa hewani wiki iliyopita kupitia kituo cha televisheni cha DTV, Nancy alisema katika maisha yake, haogopi kufanya kitu chochote hata kama hana uzoefu nacho.
Nancy alisema utamaduni wake huo wa kujiamini ndio uliomwezesha kushinda mataji ya Miss Dar Indian Ocean, Miss Kinondoni na hatimaye Miss Tanzania.
Mbali na kutwaa mataji hayo, Nancy pia alikuwa Mtanzania wa kwanza kuweka rekodi ya kushinda taji la Miss World Africa 2005 baada ya kufuzu kuingia hatua ya fainali.
Mama huyo wa mtoto mmoja alisema, kabla ya kujitosa katika mashindano ya urembo, aliwahi kufanyakazi kama muuzaji katika duka la fenicha na kulipwa mshahara wa sh. 120,000 kwa mwezi.
Alisema aliamua kufanyakazi hiyo baada ya kukwama kupata nafasi ya kujiunga na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kitivo cha sheria, kutokana na chuo hicho kutoruhusu mwanafunzi aliyemaliza kidato cha nne kwa elimu ya Kenya, kujiunga moja kwa moja kwa masomo ya shahada.

NYOTA WA BONGO MOVIE RIYAMA ALLY


HII NDIO PASAKA, KILA MTU ANAO MTINDO WAKE WA KUSHEREHEKEA


MAHAKAMA "UCHAGUZI KENYA ULIKUWA HURU NA HAKI"


Mahakama ya juu zaidi nchini Kenya, imeamua kuwa rais mteule Uhuru Kenyatta atasalia kuwa rais mpya wa Kenya baada ya kusema kuwa uchaguzi ulifanywa kwa njia huru na ya haki.
Uchaguzi wenyewe ulifanyika tarehe nne mwezi Machi, ambapo hesabu ya kura ilimpa ushindi Kenyatta kwa zaidi ya laki nane.
Rais wa mahakama hiyo jaji mkuu Willy Mutunga alisema kuwa mahakama imekubali kwa kauli moja kuwa uchaguzi ulifanywa kwa njia ya huru na wazi na kuwa Kenyatta na mgombea mwenza wake walichaguliwa kihalali.
Uamuzi huu una maana kuwa Uhuru Kenyatta ndiye ataapishwa kama rais mpya wa Kenya tarehe tisa mwezi ujao
Kesi hiyo iliwasilishwa katika mahakama ya juu zaidi na mpinzani mkuu wa Kenyatta, Raila Odinga baada ya uchaguzi uliofanyika mapema mwezi huu.
Matokeo rasmi yalionyesha kuwa Uhuru alishinda uchaguzi kwa kumpiku Raila kwa asilimia 50.07 huku Raila akipata asilimia 43.28. Matokeo haya yalizuia kufanyika kwa duuru ya pili ya uchaguzi kwa kura 8,100.
Bwana Odinga aliishutumu tume huru ya uchaguzi na mipaka kwa kuhujumu matokeo ya uchaguzi ili kumpa ushindi Uhuru Kenyatta.

US 'PREGNANT MAN' REFUSED A DEVORCE


An Arizona judge has refused to grant a divorce to a transgender man who gave birth to three children.
The judge said there was insufficient evidence that Thomas Beatie was male when he married; the state bans same-sex marriage.
In 2008, Mr Beatie, who had lived as a man for decades, gave birth to a girl, the first of three pregnancies.
He is legally male but kept his female reproductive organs and bore children because his wife was infertile.
A spokesman for Mr Beatie, Ryan Gordon, said Maricopa County Family Court Judge Douglas Gerlach's comments came as a shock. He said his client, who hopes to marry his current girlfriend, planned to appeal the ruling.
"It's unfortunate that the judge out here doesn't recognise marriage in another state,'' Mr Gordon said.

MAITI 22 SASA ZIMEPATIKANA KUTOKA KATIKA KIFUSI DAR ES SALAAM


Idadi ya watu waliokufa kutokana na kufukiwa na kifusi cha jengo la ghorofa 16 lililoporomoka juzi asubuhi jijini Dar es Salaam, imefikia 22.

Habari zilizopatikana kutoka eneo la uokoaji na kuthibitishwa na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova zinaeleza kuwa miili iliyopatikana imepelekwa Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Jengo hilo lililokuwa likijengwa mkabala na Msikiti wa Shia Ithnasheri ulioko Barabara ya Indira Gandhi na Kampuni ya Lucky Construction Limited liliporomoka saa 2.30 asubuhi wakati mafundi na vibarua wakiendelea na ujenzi huku chini watoto wakicheza mpira na mama lishe wakiendelea na biashara zao kama kawaida.

Rais Kikwete

Rais Jakaya Kikwete ambaye jana pia alifika katika eneo la tukio, kama ilivyokuwa juzi, alipata taarifa fupi ya maendeleo ya uokoaji kutoka kwa Mkuu wa Mkoa, Said Meck Sadik na Kamanda Kova.

Baada ya kupewa taarifa hiyo, Rais Kikwete alimwagiza Kamanda Kova kuhakikisha wahusika wanakamatwa akiwamo Mkadiriaji Majengo (Quantity surveyor), mchora ramani za majengo (Architecturer), Mhandisi Mshauri (Consultant) na Mhandisi wa Jiji la Dar es Salaam. Juzi baada ya kutembelea eneo la tukio, Rais Kikwete aliagiza wahusika wote wa ujenzi huo wachukuliwe hatua kali.

FIVE DIES IN A HELCOPTER CRASH


Five members of the South African military have died in a helicopter crash, officials said.

The aircraft was patrolling the Kruger National Park on Saturday evening looking for rhino poachers.
The patrol was routine and an investigation is under way.
The poaching of rhinos is rampant in South Africa. Their horns are sold in Asia, where some believe they have medicinal purposes, although there is no evidence to support it.
The South African Broadcasting Corporation quoted Brig Gen Xolani Mabanga as saying that the Agusta A1-0-9 light utility helicopter had come down at around 19:00 GMT on Saturday, killing all five people on board.
Gen Mabanga said the ministry of defence extended condolences to the families of the deceased, all members of the South African National Defence Force.

EASTER MEANS HE LIVES, BONMUSIC BLOG WISH YOU HAPPY EASTER


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...