Language

Thursday 24 January 2013

MAWLID AL-NABI!!!


MICHEZO: KAMA HUKUFANIKIWA KUPATA MATOKEO YA MECHI ZA JANA, HAYA HAPA


MITINDO: KAKAZ MPOOO...HIZI NI PICHA 10 ZINAZOWEZA KUONGOZA MTOKO WAKO WEEKEND HII



BURUDANI: LYRICS ZA PITBULL NA MARC ANTHON-LET IT RAIN OVER ME HIZI HAPA

"Rain Over Me"
(feat. Marc Anthony)

[Marc Anthony]
Girl my body don't lie
I'm outta my mind
Let it rain over me
I'm rising so high
Out of my mind
So let it rain over me

Ay ay ay
Ay ay ay
Let it rain over me

MICHEZO: UPDATES ZA MICHEZO YA LEO ZOTE ZIKO HAPA


MITINDO: FLAVIANA MTATA ASHINDA TUZO YA MWANAMITINDO BORA MWENYE MVUTO ZAIDI AFRIKA

FLAVIANA Matata, mwanamitindo wa kimataifa kutoka Tanzania, ameshinda tuzo ya ‘Nigeria’s Next Super model 2012’ inayomtambulisha kama Mwanamitindo Bora mwenye Mvuto Afrika (Africa’s Most Outstanding Model 2012).

Ushindi wa tuzo hiyo ya pekee kwa aina yake, umefungua milango ya kutambulika zaidi Matata hata kulivusha kimataifa jina la Tanzania katika tasnia ya mitindo na mavazi.
Akiongelea ushindi wa tuzo hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Compass Communication Tanzania Limited, Maria Sarungi Tsehai alisema ushindi wa Matata ni mafanikio mengine ya kujivunia. Tsehai ndiye aliyevumbua kipaji cha Matata.
Kwa mara ya kwanza Flaviana aliibuka kwenye mashindano ya Miss Universe akiweka rekodi ya mrembo wa kwanza kushinda taji hilo nchini.
Aliiwakilisha nchi kwenye mashindano ya ‘World Miss Universe’ mwaka 2007 na kumaliza nafasi ya sita, mjini Mexico City, Mexico.
Matata pia ni balozi wa taasisi ya kusaidia watoto (SOS) na Matata Diamond Empowerment Fund (Def) ya Marekani, ambapo anafanya kazi sambamba na mwanamitindo na msanii wa vipindi vya televisheni Kim Kardashian.
Kimwana huyo pia ana mkataba na kampuni ya mitindo ya Afrika Kusini inayojulikana kama Boss Models SA, ambapo awali pia aliwahi kufanya kazi na

BURUBANI: CHRIS BROWN-DON'T JUDGE ME LYRICS (IMEOMBWA NA HAJI RAMADHANI VIA FACEBOOK)

Verse 1:
I don't wanna go there
We should never go there
Damn why you wanna go there
I guess I gotta go there
You're hearing rumors about me
And you can't stomach the thought
Of someone touchin my body

BURUDANI: HOW DEEP IS YOUR LOVE LYRICS, SEAN PAUL FT. KERRY RAWLAND



[Sean Paul:]
Bada bang bang bang
Late by the King call
Over is all our brain
Baby girl, Listen what me sing yeah
Badabang, Bada bang bang bang ban
Sean Da Paul him ah the Don
Yo, girl just hold my hand,
I gotta let you know I am the man

Girl cause the way how ah wine,
And ah bubble it, bubble it

BURUDANI: ANGALIA PICHA 4 ZA MKE WA MTU AKIFANYA UCHAFU UKUMBINI

KITUKO cha aina yake kimejiri Jumamosi iliyopita ndani ya Ukumbi wa Meeda Sinza jijini Dar wakati Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’ ilipokuwa ikitumbuiza.





HABARI PICHA: HII NYUMBA NI.....HEBU ICHEK MWENYEWE


MITINDO: LEO TUFOCUS VIATU VIREFU VYA KIKE


MICHEZO: RATIBA YA MECHI ZA LEO KATIKA VIWANJA MBALI MBALI DUNIANI


HILI NDILO TAMKO LA KANISA LA MORAVIAN KUSINI

Halmashauri Kuu ya Kanisa la Moravian Jimbo la Kusini na bodi ya wadhamini wa mali za kanisa hilo, wametoa tamko zito la kumtaka Mwenyekiti wa Jimbo la Misheni Mashariki aliyesimamishwa, Mchungaji  Clement Fumbo kurudisha mali za kanisa na kuacha kujihusisha na shughuli za kanisa hilo.

Tamko hilo limekuja kufuatia Mchungaji Fumbo kujihalalisha siku za hivi karibuni kwamba yeye ni Mwenyekiti halali wa Jimbo la Misheni, ikiwa ni pamoja na kutangaza viongozi wapya wa halmashauri kuu jambo lililolenga kuwagawa waumini ndani ya kanisa hilo.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa Jimbo la Kusini, Clement Mwaitebele alisema alichokifanya Mchungaji  Fumbo ni ubatili mkubwa na kwamba ni kitendo kinachohatarisha amani ya Watanzania, hivyo kama viongozi wakuu wa kanisa wameamua kuingilia kati.
Alisema barua za kumtaka afanye hivyo tayari zimeshaandaliwa na kwamba akikaidi kurudisha ofisi, kuondoka katika Jengo la Usharika wa Tabata na
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...