Language

Saturday 26 January 2013

TIBA: DAWA YA KUKUZA NA KUREFUSHA UUME, MAKALIO NA MATITI ISIYO NA MADHARA IMEPATIKANA TZ, HII HAPA

Kwa kutumia mabango, lengo likiwa kutangaza kazi zao, waganga wengi wa tiba asilia wamekuwa wakijinadi kuwa wanatoa tiba ya kurefusha maumbile ya siri ya wanaume, kukuza makalio au matiti.

Katika mitaa ya miji na majiji nchini, siyo jambo la ajabu kukutana na mabango hayo, ambayo hata hivyo kushamiri kwake kunaleta picha kwamba ni kutokana na uhitaji mkubwa wa huduma hiyo nchini, huku watoa huduma husika wakinufaika kwa kujikusanyia kiasi kikubwa cha fedha kutoka kwa wahitaji.
Pia dawa zinazodaiwa kukuza makalio maarufu kama ‘mchina’, zimekuwa gumzo baada ya kuingia nchini, huku zikielezwa kukosa ubora na kwamba zina madhara makubwa.
Lakini, sasa unaweza kuachana na dawa hizo za Kichina, baada ya kugundulika mmea wenye uwezo wa kukuza makalio, matiti, pamoja na kurefusha

BURUDANI:BADO UTATA UMETAWALA!!!

TASNIA ya sanaa ni nyanja ambayo kwa kipindi kirefu imekuwa ikitawaliwa na amani, huku watu wake wakionekana kuwa na furaha na kufanya kazi zao kwa kujitolea zaidi licha ya mapato kiduchu kutokana na kazi zao.

Hata hivyo, kwa takribani

MICHEZO: MECHI ZA LEO KATIKA KOMBE LA MATAIFA GROUP D NA FA CUP ENGLAND



Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...