Language

Tuesday 29 January 2013

MICHEZO: DROGBA KUICHEZEA GALATASARAY KWA MWAKA MMOJA NA NUSU


Galatasaray imemsajili aliyekuwa mshambulizi wa Chelsea Didier Drogba kutoka kwa klabu ya Shanghai Shenhua inayoshiriki katika ligi kuu ya Premier nchini Uchina.

Galatasaray inayocheza ligi kuu nchini Uturuki, imethibitisha kuwa Drogba amesaini mkataba wa miezi kumi na minane na klabu hiyo.
Mchezaji hiyo mwenye umri wa miaka 34, kwa sasa yuko nchini Afrika Kusini kuiongoza kikosi cha Ivory Coast katika mashindano ya kuwania kombe la mataifa ya Afrika.
Kwa mujibu wa ujumbe uliotumwa na kampuni ya uhusiano bora inayomuakilisha mchezaji huyo Sports PR Company na kuchapishwa kwa mtandano wa kijamii wa Twitter, Drogba alisema anajiandaa kurejea tena katika michuano ya kuwania kombe la klabu binga barani ulaya kwa mara nyingine.
Galatasaray imefuzu kwa raundi ya muondoana ya kuwania kombe hilo na imepangiwa kucheza na FC Schalke 04 kutoka uUjerumani.
''Hii ni fursa nzuri ya kuichezea timu kubwa na ni nafasi ambayo siwezi kupuuza'' Alisema Drogba.

MICHEZO: DONDOO: MARIO BALOTELI KWENDA AC MILAN


BURUDANI: ENRIQUE IGLESIAS-I HAVE ALWAYS LOVED YOU LYRICS

Since the beginning of time
Since it started to rain
Since I heard you laugh
Since I felt your pain
I was too young, you were much younger
We were afraid of each other`s hunger
I have always loved you
There`s never been anyone else
I knew you before I knew myself
Oh my baby,
I have always loved you
Since we kissed the first time
Since we slept on the beach
You were too close for comfort
You were too far

MICHEZO: UPDATES/MATOKEO YOTE YA MECHI ZA JANUARI 29 HAYA HAPA



MITINDO: MAVAZI YANAYO WAFAA WANAWAKE WEMBAMBA




Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...