Language

Tuesday 26 February 2013

HABARI MUHIMU: DR. SLAA BADO TISHIO

WAKATI baadhi ya wanasiasa wakiwa wameanza kujiwinda kwa ajili ya kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2015, Shirika la Utafiti la Synovate limetoa matokeo ya utafiti wake ambao unaonyesha vigogo tisa kuwamo katika mchuano huo. 

Utafiti huo umeonyesha kuwa endapo uchaguzi huo ungefanyika sasa, Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willibrod Slaa angeibuka mshindi baada ya kuongoza orodha hiyo akipata asilimia 17. 

Katika matokeo ya utafiti huo uliofanywa Desemba mwaka jana, Dk Slaa anafuatiwa kwa mbali na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ambaye amefungana na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Zitto Kabwe kila mmoja akipata asilimia tisa.
Hata hivyo, licha ya kuongoza, Dk Slaa ameporomoka kwa asilimia 25 ikilinganishwa na matokeo ya utafiti kama huo uliofanywa na taasisi hiyo mwaka

KUTOKA KATIKA IN BOX YA SIMU YANGU

"Tahadhari...Kundi la waislamu toka Dar es salaam tayari limewasili mikoani kwa ajili ya kuja kubomoa na kuchoma makanisa. Tunatakiwa kuwa makini tuwapo makanisani hata katika kazi zetu. Usipuuze, ni taarifa toka jimbo kuu la Dar es salaam. Wajulishe mapadri, watawa, makatekista, wachungaji, wainjilisti na wakristo wote...nakutakia asubuhi njema na MUNGU akubariki"

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...