Language

Wednesday 27 February 2013

HABARI MUHIMU: MTANZANIA AULA RWANDA, APEWA UWAZIRI

RAIS Paul Kagame wa Rwanda amemteua Mtanzania, Profesa Silas Rwakabamba kuwa Waziri wa Miundombinu wa nchi hiyo katika mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yaliyofanyika Jumatatu iliyopita.


Kabla ya uteuzi huo, Profesa Rwakabamba alikuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Rwanda. Ni mmoja wa mawaziri wanaoingiza sura mpya katika Baraza la Rais Kagame ambalo amelifanyia mabadiliko kwa kuunda wizara nyingine mpya.

Sura nyingine mpya katika Baraza hilo ambalo liliapishwa juzi Ikulu ya Rwanda ni pamoja na Seraphine Mukantabana (Wakimbizi na Menejimenti ya Maafa) na Oda Gasinzigwa (Ofisi ya Waziri Mkuu- Familia na Jinsia).
Akizungumza kwa simu na mwandishi wetu jana, mdogo wa Profesa Rwakabamba, Timothy Rwamushaija anayeishi Dar es Salaam, alisema ndugu yake alizaliwa katika Kijiji cha Bushagara, Wilaya ya Muleba mkoani Kagera.

HABARI PICHA: UWANJA WA NANE NANE MBEYA WAGEUKA PORI



HABARI MUHIMU: LOWASA ASEMA HOJA YA AJIRA ITAIPA USHINDI CCM

Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, amesema kuwa iwapo serikali zote mbili; ile ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ya Zanzibar, zitatekeleza kwa usahihi maelekezo ya mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) juu ya suala la ajira, chama hicho kitashinda kiurahisi katika uchaguzi mkuu wa 2015.



Akizungumza kuhusu uchaguzi wa Kenya, Lowassa alisema amefurahishwa na jinsi Wakenya walivyolichukulia tatizo la ajira kama moja ya ajenda muhimu katika uchaguzi huo unaotarajiwa kufanyika wiki ijayo.

Alisisitiza kuwa, kama CCM nayo italichukua tatizo la

KIBONZO


BURUDANI: ALICIA KEYS-GIRL ON FIRE LYRICS

Alicia Keys
Girl On Fire lyrics

Songwriters: Augello-Cook, Alicia J / Remi, Salaam / Bhasker, Jeff

[Alicia Keys]
She's just a girl and she's on fire
Hotter than a fantasy, longer like a highway
She's living in a world and it's on fire
Fill with catastrophe, but she know she can fly away

HABARI MUHIMU: WANNE WANASHIKILIWA NA POLISI KWA KOSA LA KUKUTWA NA KADI 150 ZA ATM NA MILIONI 20 ZA WIZI RUNGWE

JESHI la Polisi Wilaya ya Rungwe, mkoani Mbeya, linawashikilia watu wanne kwa kosa la kukutwa wakitoa fedha kwenye mashine ya (ATM), inayomilikiwa na Benki ya NMB, mjini Tukuyu.


Watu hao walikutwa na kadi 150 za watu tofauti pamoja fedha taslimu zaidi ya sh. milioni 20 walizotoa katika mashine ya ATM, iliyopo karibu na Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya.
Habari zilizolifikia gazeti hili, zinasema wahusika wa wizi huo wamefahamika kwa majina ya Bw. Miraji Kipale (34), Bw. Joseph Peter (20) na Bw. Juma Kabero (20), wote wakazi wa Tukuyu.
Mwingine ni Bw. Jumanne Mgere (29), ambaye ni mkazi wa Mbozi, ambao kati kadi walizokamatwa nazo, 136 tayari walizitumia kuchukua fedha katika ATM.
Habari zaidi zinazongeza kuwa, Bw. Kipale anamiliki ofisi ambayo inaitwa “Nyarusi”, ambayo imekuwa ikitoa mikopo ya fedha kwa watu mbalimbali wakiwemo watumishi wa Serikali hasa walimu
na kurudisha mkopo kwa riba.
Baadhi ya wakopaji, wanadaiwa kuweka bondi vitu mbalimbali vya thamani pamoja na kadi zao za benki (ATM). Watuhumiwa hao pia walikutwa na orodha na majina ya watu 150 pamoja na namba zao za

GAZETI LA RISASI LA LEO


MITINDO: HII STYLE GANI YA KIATU?


HABARI MUHIMU: PAPA BANEDICT WA 16 AAGWA NA WAUMINI ROMA

Waumini kutoka Bavaria,wakishirikiana na wenzao kutoka kila pembe ya dunia wamuaga kiongozi wa kanisa katoliki ulimwenguni
Kiongozi wa kanisa katoliki ulimwenguni, Papa Benedikt wa 16 atakaestaafu kuanzia february 28 na kujishughulisha zaidi na ibada na kutafakari,anaongoza misa yake ya mwisho katika uwanja wa Mtakatifu Petro,wakihudhuria zaidi ya waumini laki moja na nusu kutoka kila pembe ya dunia.Wakaazi wa jimbo la kusini mwa Ujerumani Bavaria anakotokea kiongozi huyo wa kanisa katoliki ulimwenguni wamekuja kwa wingi kumuwaga jamaa yao.
Katika misa yake hiyo ya mwisho ya hadhara kama kiongozi wa kanisa katoliki ulimwenguni,Papa Benedikt wa 16 akiwa ndani ya gari maalum la Vatikan anawaamkia umati wa waumini waliojazana katika uwanja wa Mtakatifu Petro,muda mrefu zaidi kuliko kawaida yake kabla ya kuwakaribisha kwa mazungumzo baadhi ya

MICHEZO: RATIBA YA MECHI ZOTE KUBWA ZA LEO 27/02/2013


HABARI MUHIMU: WANAJESHI WA MAREKANI WAKUBALI KOSA LA KUBAKA

Wanajeshi wa jeshi la wanamaji la Marekani, wamekubali mashtaka ya kumbaka mwanamke mmoja katika kesi ambayo imeibua hisia kali dhidi ya Marekani.


Wanaume hao. Wal;imvamia mwanamke huyo, wakati wa ziara yao fupi katika kisiwa cha Okinawa, makao kwa kambi kubwa ya jeshi la Marekani barani Asia.
Sheria ya kutotoka nje iliyowekewa wanajeshi karibu elfu hamsini kufuatia tukio hilo Okotoba mwaka jana
Kumekuwa na hali ya wasiwasi kati ya majeshi ya Marekani na wenyeji wa Okinawa.
Manamo mwaka 1995, genge la wanajeshi wa Ulaya, lilimvamia na kumbaka msichana mwenye umri wa miaka 12 na kuzua maandamano makubwa.

KAMA HUKUZIPATA BASI HIZI NDIO PICHA ZA UTUPU ZILIZOPIGWA NA WANACHUO WA SAUT



 

HABARI MUHIMU: VITUO VIWILI VYA RADIO VIMEFUNGIWA NA CLOUDS FM IMELIMWA FAINI YA TSH. 5000,000

KAMATI ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa adhabu ya kuvifungia muda wa miezi sita vituo viwili vya redio za dini, Imani na Kwa Neema kwa kile kilichoelezwa ni kuendesha vipindi vya uchochezi.

Vilevile kamati hiyo imetoa adhabu ya faini ya Sh5 milioni kwa Kituo cha redio cha Clouds FM baada ya kubainika pia kukiuka taratibu za utangazaji kwa kurusha hewani kipindi kilichotafsiriwa kuwa ni cha uchochezi.
Kamati hiyo ya maudhui ilitangaza adhabu hizo jana jijini Dar es Salaam mbele ya waandishi wa habari ikisisitiza kuwa lengo lao ni kuhakikisha kuwa vyombo vya habari vinazingatia maadili.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...