Language

Thursday 4 April 2013

JUSTIN BIEBER: TORTURED BY SELENA GOMEZ



A source close to Justin Bieber has confirmed what we've suspected for months:
The singer's recent troubles - from pot smoking to hanging out with Lil Twist to spitting on his neighbor - can all be traced to his split from Selena Gomez in late 2012.
 
Bieber was "torn apart" by the break-up, an insider tells TMZ, and he hasn't been able to sufficiently recover because Gomez continues to call and text.
The mixed messages have left Justin "tortured," according to this same mole.
Just last week, Bieber stopped by Selena's house on his way out of the country, likely to either mend fences or urge his ex to make up her mind in one direction or the other.
It was a smart move because Bieber has clearly been expressing his anger and bitterness over the split in healthy, inappropriate, often illegal ways.


ANGALIA HII, HAPA AJALI NJE-NJE


BODABODA ZA TOWN NOMAAAAAA


HABARI KUBWA ZA LEO APRILI 4 KWA UFUPI



N Korea 'moves mid-range missile' Thursday, April 04, 2013 4:59:49 AM
South Korea's foreign minister says the North has moved a mid-range missile to its east coast, but says it is not aimed at the US mainland.
German economy 'near stagnation' Thursday, April 04, 2013 2:28:52 AM
Germany's economy slowed to "near stagnation" last month, while France's recorded its biggest contraction for four years, a survey says.
Armstrong set for return as swimmer Wednesday, April 03, 2013 11:59:50 PM
Disgraced cyclist Lance Armstrong is scheduled to compete in three events at the US Masters swimming championships this weekend.

MAMBO YA KHANGA MOJA KATIKA SHOO YA DIAMOND BUKOBA



HIZI NI BAADHI YA PICHA CHAFU ZILIZOPIGWA NA NYOTA WA VIDIO YA JAMBO JAMBO YA STEVE RnB


KILICHOANDIKWA NA JUMUIA YA UAMSHO NA MIHADHARA YA KIISLAMU ZANZIBAR NI HIKI


KESI YA LWAKATARE YASOGEZWA MBELE



Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imeiahirisha kesi inayomkabili Mkuu wa Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare na Joseph Ludovick hadi Aprili 17, mwaka huu.

Wakili Mwandamizi wa Serikali, Tumaini Kweka aliiambia mahakama hiyo iliyokuwa imeketi chini ya Hakimu Mkazi, Aloyce Katemana kuwa kesi hiyo jana ilifikishwa kwa ajili ya kutajwa.
Alisema hatua hiyo inatokana na ukweli kwamba jalada kuu la kesi lipo katika Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam.
Baada ya maelezo hayo, Hakimu Katemana aliiahirisha kesi hiyo hadi Aprili 17, mwaka huu.
Lwakatare na Ludovick wanakabiliwa na mashtaka ya kula njama ya kutoa sumu kwa nia ya kumdhuru Dennis Msacky, kushiriki katika kupanga njama za utekaji nyara, kushiriki katika mkutano wa kupanga kitendo cha ugaidi cha utekaji nyara.
Akisoma hati ya mashtaka hayo, Wakili wa Serikali, Prudence Rweyongeza alidai kuwa washtakiwa walifanya hivyo Desemba 28, mwaka jana katika eneo la King’ong’o wilayani Kinondoni. Washtakiwa kwa pamoja walikula njama kwa kutoa sumu kwa nia ya kumdhuru Msacky ambaye ni Mhariri Mtendaji wa gazeti la Mwananchi.
Wakili huyo wa Serikali pia alidai kuwa Desemba 28, 2012 walishirikiana kupanga njama za utekaji nyara dhidi ya Msacky.

7 WAPOTEZA MAISHA DAR ES SALAAM KATIKA MATUKIO TOFAUTI



Watu  wawili wamekufa maji na wengine idadi kama hiyo, kukijeruhiwa  katika matukio tofauti  yaliyotokea jijini Dar es Salaam.   

Kamanda wa Mkoa wa  Kipolisi  wa Kionondoni, Charles Kenyela ,alisema katika mkoa huo,   maiti ya mtu mmoja aliyetambuliwa kuwa ni Magreth Kusupa (35), imekutwa ikiwa inaelea juu ya maji katika Mto Mbezi.
Alisema maiti huyo alikutwa saa 2:00 asubuhi  katika eneo la Goba na kwamba wananchi wa eneo hilo, walifanya jitihada za kumopoa.
Alisema “Uchunguzi wa awali umebaini kuwa mwili wa marehemu  haukuwa na jeraha na umehifadhiwa  katika Hospitali ya Mwananyamala.”Kamanda  Kenyela alisema mtu mwingine aliyetambuliwa kuwa ni Serafini Ameros,  mpiga tofali amekufa maji na wenzake wawili, wakiwa wamejeruhiwa wakati wakijaribu kuokoana kwenye karo lililojaa maji.
Kamanda Kenyela alisema tukio hilo lilitokea saa 8:00 mchana  katika eneo la Mbezi Msakuzi  wakati  Amaros akijaribu kuondoa uchafu kwenye shimo ambalo lingetumika kama choo.
Alisema shimo hilo liko nyumbani kwa Damian Laurent  ambaye katika tukio hilo alijeruhiwa.

MZOZO WA NYAMA WAZUA KASHESHE TUNDUMA



Vurugu kubwa zilizuka jana katika Mji wa Tunduma ambao ni makao makuu ya Wilaya ya Momba, Mkoa wa Mbeya, baada kutokea mvutano mkali kuhusu nani anayepaswa kuchinja mifugo baina ya waumini wa dini mbili; Waislamu na Wakristo.

Mamia ya polisi kutoka wilaya zinazouzunguka Mji wa Tunduma walimwagwa na walilazimika kutumia mabomu ya machozi na maji ya kuwasha ili kuwatawanya waandamanaji pia, kutuliza vurugu zilizodumu kwa zaidi ya saa nne.
Vurugu hizo ambazo zinahatarisha amani, zimetokea siku tatu tu tangu Rais Jakaya Kikwete aonye kwamba kwamba vurugu zenye sura ya kidini ni hatari na zinaweza kuvuruga amani na utulivu uliodumu kwa miaka mingi nchini.
Mijadala kuhusu vurugu hizo ilitawala katika mitandao ya kijamii ikiwamo facebook, Mabadiliko Forum na Jamii Forums ambako watu mbalimbali walionyesha kukerwa nazo, huku wakiitaka Serikali ichukue hatua za kudhibiti.
Kutokana na vurugu hizo zilizoanza saa 4:30 asubuhi, wakazi wa mji huo walijifungia ndani kwa kuhofia usalama wa maisha yao, huku maduka na shughuli za biashara nazo zikifungwa.
Mwandishi wa Mwananchi aliyekuwa katika eneo la tukio anaripoti kwamba katika vurugu hizo, watu zaidi ya 35 wamekamatwa wakiwamo Diwani wa Kata ya Tunduma Frank Mwakajoka na Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Gidion Mwamafupa.

RATIBA YA MECHI KUBWA ZA LEO APRILI 4


MATOKEO YA MECHI KUBWA ZA JANA NA RATIBA YA BAADHI YA MECHI ZA LEO


YOU CAN LEARN SOMETHING HERE


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...