Language

Friday 12 April 2013

ANGALIA NA UELEWE KILICHOPO


HIVI NI KWELI WANAUME HAWAJUI KULEA WATOTO WACHANGA:


CHINA'S GUAN TIANLANG, 14, SETS GOLF RECORD



Teenager Guan Tianlang was penalised for slow play at Augusta, but his overall score of four over was still enough to see him become the youngest golfer to make the cut at a major. 

Guan, 14, was given the one-stroke penalty after making par on the 17th, having earlier been warned for slow play during the Masters second round.
The Chinese player said: "I respect the decision. This is what they can do."
"Tianlang Guan's punishment is very unusual. Outside of the majors on the PGA Tour, it was last seen in 1995 with Glen Day at the Honda Classic.

KERRY IN CHINA AMID N KOREA TENSIONS



US Secretary of State John Kerry is in China, for a visit he has said he will use to urge Beijing to use its influence to rein in North Korea.
Mr Kerry's four-day tour of Asia comes amid speculation that North Korea is preparing for a missile launch.
In South Korea on Friday, he said that a policy of denuclearisation shared by the US and China had to have "teeth".
The US says there is no evidence North Korea can fire a nuclear warhead as suggested by a leaked US report.
North Korea has reportedly moved at least two Musudan ballistic missiles to its east coast.
A flurry of warlike statements from Pyongyang has prompted speculation that it might launch a missile - possibly on 15 April, when the country marks the 101st birthday of the nation's founder and former leader, Kim Il-sung.

MWANAMUZIKI LINET MUNYALI 'SIZE 8' WA KENYA AOKOKA NA KUACHANA NA MUZIKI WA KIDUNIA


LIGI KUU YA VODACOM INAPIGWA TENA LEO KATIKA VIWANJA MBALI MBALI



www.facebook.com/bonmusicblogLigi Kuu ya Vodacom inaendelea leo (Aprili 13 mwaka huu) kwa mechi mbili zitakazochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, na Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya.

Yanga itakuwa mwenyeji wa Oljoro JKT kwenye Uwanja wa Taifa wakati Uwanja wa Sokoine utakuwa mwenyeji wa mechi kati ya Tanzania Prisons na Ruvu Shooting.
Ligi hiyo itaendelea kesho (Aprili 14 mwaka huu) kwa mechi kati ya wenyeji Azam na Simba. Mechi hiyo namba 155 itachezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

TFF: UJUMBE WA FIFA KUFIKA TAREHE 15



Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linapenda kuwatangazia wadau wa mpira wa miguu kuwa ujumbe wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) utawasili nchini Jumatatu (Aprili 15 mwaka huu) kwa ajili ya kushughulikia mchakato wa uchaguzi mkuu wa TFF.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka FIFA, ujumbe huo utaongozwa na Mkuu wa Idara ya Uanachama ya FIFA, Primo Covarro na utafanya kazi kwa siku tatu kuanzia siku ya ujio na kuondoka Aprili 18 mwaka huu.
Ukiwa nchini, ujumbe huo utakutana na wagombea uongozi walioathiriwa na uamuzi wa Kamati ya Rufani ya Uchaguzi ya TFF ambao waliomba mashauri yao yaangaliwe upya, wagombea ambao walikata rufani FIFA, Kamati ya Uchaguzi ya TFF, Kamati ya Rufani na Sekretarieti ya TFF.
Wajumbe hao wangependa kukutana na waziri anayehusika na michezo, hivyo TFF imeiandikia Wizara ikipendekeza kuwa ujumbe huo ukutane na Waziri na wakuu wengine wa michezo Aprili 16 mwaka huu 2013 kabla ya kuanza kazi zao.

Wagombea watakaosikilizwa na ujumbe huo wa FIFA ni:
1.   Farid Salim Mbaraka Nahdi: Mgombea wa nafasi ya ujumbe wa Kamati ya Utendaji ambaye alienguliwa na Kamati ya Uchaguzi na baadaye rufani yake kwa Kamati ya Rufani ya Uchaguzi ya TFF kutupwa na hali kadhalika ombi lake la kutaka shauri lake liangaliwe upya, kukataliwa.

DOLA MILIONI 158 KUTATUA KERO YA MAJI ARUSHA



Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Maji taka Arusha, Injinia Ruthi Koya alisema kupatikana kwa kiasi hicho cha fedha ndiko kutatatua tatizo la maji.

Alisema mamlaka hiyo haina kiasi hicho cha fedha kwa sasa bali inategemea ruzuku ama mkopo ili kuweza kumudu kutatua tatizo la maji linalozidi kulikabili jiji hilo, hasa baada ya kuongezewa maeneo kutoka wilayani Arumeru.
Injinia Koya alitaja maeneo ambayo hadi sasa hali ya upatikanaji maji si nzuri ni pamoja na Olasity, Kwa Mrombo, FFU na baadhi ya maeneo ya Mianzini ambapo jitihada zinafanywa kupunguza makali hayo.
Alifafanua kuwa baada ya mamlaka hiyo kuchimba kisima kirefu katika eneo la Sombetini, wanatarajia kuyasambaza maji hayo katika maeneo ya Olasity na Kwa Mrombo ambako kuna tabu kubwa ya maji.
Alisema uwezo wa mamlaka hiyo kwa sasa ni kuzalisha lita za ujazo milioni 45,000 kwa siku huku mahitaji halisi yanayotakiwa ni lita milioni 93,270 kwa siku hivyo kuwa na changamoto kubwa ya kufikia malengo hayo.
Aliomba wananchi kumvumilia kwa kipindi cha miaka mitano kuweza kutatua changamoto hiyo ya upatikanaji maji safi na huduma ya uondoaji maji taka mjini

KIM KARDASHIAN AANIKA KITUMBO CHAKE


JUSTIN BIEBER NA MTINDO MPYA WA NYWELE KWA MARA NYINGINE TENA



New haircut. New Justin Bieber? In the face of mounting legal and personal problems, the 19-year old singer has seemingly made an attempt to turn over a new leaf... by donning a new 'do!


MWIGIZAJI NA MCHEKESHAJI NGULI JONATHAN WINTERS AFARIKI DUNIA NA MIAKA 87



The entertainment world has lost a legend in Jonathan Winters, a veteran actor and comic who passed away at the age of 87, according to his website.

Longtime family friend Joe Petro III says Winters, who inspired so many comedians, died Thursday night at his Montecito, Calif., home of natural causes.
A note on his website adds, "Rest in Peace, Mr. Winters."
Winters' career began when he won a talent contest in Ohio, which led to radio gigs and appearances at comedy clubs, along with comedy albums.
His originality made him a favorite guest on the late night TV circuit for decades, often appearing with Jack Paar, Johnny Carson and Steve Allen.
Winters often performed in character, too, including old standby Maude Frickert, a lady with a quick and acid wit. He had his own TV show in the 1950s.
Winters also appeared in nearly 50 movies and TV programs, including a particularly notable role in the 1963 film It's a Mad, Mad, Mad, Mad World.
Eileen Schauder Winters, his wife of more than 60 years, died on Jan. 11, 2009. Jonathan is survived by two children and five grandchildren. R.I.P.

HUYU NDIO ARNOLD SCHWARZENEGGER ALIVYO SASA AADA YA UJANA KUMKIMBIA


UNAIKUMBUKA WALKING AWAY YA CRAIG DAVID? LYRICS ZAKE HIZI HAPA



Walking Away"
I'm walking away from the troubles in my life
I'm walking away oh to find a better day
I'm walking away from the troubles in my life
I'm walking away oh to find a better day
I'm walking away

RAHA YA WATOTO KULEA BWANA!!!


MSIMAMO WA LIGI KUU ENGLAND


WATOTO HAWARUHUSIWI KUTAZAMA 'LOVE&POWER' YA KANUMBA



Bodi ya Ukaguzi wa Filamu na Michezo ya Kuigiza Tanzania, imeagiza kuwa filamu ya marehemu Steven Kanumba 'Love&Power'  inayotarajiwa kuingia sokoni rasmi leo, inatakiwa kuangalia na watu wenye umri wa kuanzia miaka 16 na kuendelea.
 
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu nchini Joyce Fisoo aliagiza umri wa kutazama filamu ya Love & Power ni miaka 16 na kuendelea.
"Baada ya kuikagua filamu hii tumependekeza umri stahiki wa kutazama filamu hii ambao ni kuanzia umri wa miaka 16," alisema Fisoo.
Akizungumza Msemaji wa filamu hiyo Myovela Mfwaisa alisema Love&Power ni filamu nzuri inayotazamwa na watoto pamoja na familia, iliyopewa kibali cha ukaguzi Kutoka Bodi ya ukaguzi wa filamu na michezo ya kuigiza Tanzania.
"Lugha iliyotumika katika filamu hiyo ni Kiswahili lakini pia Lugha ya kiingereza imetumika kama ‘Subtitles’. "
“Filamu ya Love & Power imetengenezwa na kampuni ya Kanumba the Great film kwa kushirikia na Steps Entertainment Ltd ikiwa imeandikwa na Ally Yakuti, Filamu ya Love & Power imeshirikisha wasanii nyota katika tasnia ya Filamu Tanzania kama Hussein Mkiety

UHURU KENYATTA: "SIKU 100 ZINANITOSHA KUTIMIZA AHADI ZANGU ZOTE"



Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amesema kwamba atatumia siku 100 tu  kutekeleza ahadi  zake zote ambazo ameziahidi kipindi cha kampeni.

Alisema  kwanza atatumia miezi mitatu tu kuondoa kabisa malipo ya Afya ya uzazi kwa kina mama katika zahanati zote na hospitali za umma.
Alisema kwamba Serikali yake itatoa kiasi cha Sh6 bilioni zilizotengwa kwa ajili ya mfuko wa vijana na wanawake .
Pia alikumbushia ahadi ya kutoa ‘laptop’ kwa wanafunzi wote wa shule za msingi watakaojiunga na shule za serikali mwakani.
Uhuru alisema kwamba kutekeleza ahadi hizo ni katika suala la utekelezaji wa sera  na misimamo wa Muungano wa Jubilee.

MECHI ZA LEO ZITAKAZO CHEZWA MUDA MFUPI TOKA SASA


HABARI KUBWA ZA APRILI 12



US in new N Korea missile warning Friday, April 12, 2013 5:00:49 AM
US Secretary of State John Kerry, who is visiting Seoul, says it would be a "huge mistake" for North Korea to launch another missile.
Portugal and Ireland loans extended Friday, April 12, 2013 8:29:16 AM
Portugal and the Republic of Ireland are to be given an extra seven years to pay back their bailout loans from the European Union.
Paris judge allows masks auction Friday, April 12, 2013 7:38:21 AM
An auction of masks originating from a native American tribe in Arizona begins in Paris, after a legal challenge to stop the sale fails.

KAMA HUKUPATA DONDOO ZA MIVCHEZO LEO, GAZETI LA CHAMPION LINAZO...SOMA HAPA


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...