Language

Friday 26 April 2013

MATOKEO YA MECHI KUBWA ZA APRILI 26


KOCHA WA YANGA KWENDA AMAVUMBI YA RWANDA?


KOCHA Mkuu wa Yanga, Ernie Brandts ni kati ya makocha wanaopewa nafasi ya kuwania nafasi ya kuifundisha timu ya taifa ya Rwanda ‘Amavubi’.

Habari za uhakika kutoka ndani ya Shirikisho la Soka la Rwanda (Ferwafa) zimeeleza, Brandts ni kati ya wanaopewa nafasi ikiwa ni siku chache baada ya aliyekuwa Kocha Mkuu Sredojevich Milutin ‘Micho’ kufukuzwa kazi.
Micho raia wa Serbia aliyewahi kuwa kocha wa Yanga alitupiwa virago baada ya timu hiyo kufanya vibaya kwa miezi minne mfululizo.
Brandts raia wa Uholanzi, amekuwa akipewa nafasi hiyo baada ya kamati ya ufundi ya Ferwafa kutoa pendekezo kutokana na mafanikio aliyoyapata wakati akiwa nchini Rwanda akiinoa APR.

BARACK OBAMA ATOA ONYO KWA SYRIA


Rais wa Marekani Barrack Obama, ametoa onyo jipya kwa Syria kwamba matumizi ya silaha za maangamizi makubwa dhidi ya raia nchini humo huenda likapelekea kubadilisha msimamo wa Marekani juu ya kuingilia kijeshi Syria. 

Obama ametoa onyo hilo wakati akiwa anakabiliwa na shinikizo kutoka nchini mwake na bara la ulaya kwa ujumla kuingilia mapigano ya wenyewe kwa wenyewe nchini Syria.
Hata hivyo siku moja baada ya Marekani kusema kwamba kemikali hizo zenye sumu huenda zimetumika kwa kiwango kidogo, Obama anasema nchi yake lazima iwe na uhakika wa matumizi ya silaha za kemikali, na ushahidi unaoonyesha silaha hizo zimetumika kivipi na wapi.
" Tumeshawahi kuona picha mbaya sana zamani, baada ya maafisa wa ulinzi wanaoonekana kufanya maamuzi kutokana na maswala ya sera, na baadaye inakuja kubainika kuwa ushahidi iliopelekea maamuzi hayo kufanywa si wa ukweli ," alisema afisa mmoja wa ulinzi nchini Marekani ambaye hakutaka jina lake litajwe.

MADHARA YA KUFANYA NGONO KINYUME CHA MAUMBILE

Kufanya ngono kusiko a.k.a Tigo “MWIKO” katika jamii nyingi Ulimwenguni sio kwa vile tu inamaanika kuwa ni uchafu na inamadhara makubwa ya kimwili, kiakili na kiafya bali ni kinyume na mafundisho ya imani zetu za Dini.


Kinachofanyika chumbani ni uamuzi wenu ninyi wawili mnaopendana ikiwa tu mtakubaliana na kufanya hivo na pia ni siri yako wewe na mpenzi wako, kuna wapenzi wengi tunafanya mambo ya ajabu sana na watu tunaowapenda na tunafurahia na tunazidi kupendana na kutakana zaidi na zaidi kila siku….lakini mambo hayo ni “taboo” ktk jamii kama ilivyo kwa Tigo

Kuna baadhi ya watu (wake kwa waume) hujaribu na kisha wanajikuta wanafurahia na hivyo wanaendelea na kuna wengine hutaka kujua “unajisikiaje” lakini wanajikuta hawafurahii au mmoja wao hafurahii na hivyo wanaacha na kutorudia tena tendo hilo la mugongo-mugongo.
Pamoja na kuwa watu kuheshimu miiko ya dini zao, kupinga na kulisema vibaya tendo hili wachunguzi wa mambo ya Tigo wanadai kuwa mwanamke mmoja kati ya wanne anashiriki ngono ya nyuma (sasa hii sijui ni kuridhisha wapenzi au ni wao wanafurahia)…….wazoefu watusaidie hapa.

MWANAMKE HUPENDA HAYA KWA MWANAUME



Pengine watu wengi wamekuwa wakitafuta ni jinsi gani wanaweza kupendwa na wasichana au wanawake. Niwazi kabisa kila mwanamke anachaguo lake kwa mwanaume ampendae.

UKITAKA KUISHI VEMA FANYA HAYA


MWANAMUZIKI WA KENYA JAGUAR AMENUNUA NDEGE


It is Saturday afternoon and as the clock ticks 3pm, an informer calls me up. “I have a hot story for you,” the informer says with a hasty tone before losing taste for suspense and urging: “Just get yourself down to the Wilson airstrip… Jaguar…”


“Jaguar? What about Jaguar?” I wonder aloud as the caller disconnects, leaving me confused.
Frantically, I try to reach out to the singer, all in vain as my paparazzi instincts get aroused.
By now, the caller’s number has gone mute. I arm myself with a camera, call my taxi guy James, and command him to head to Wilson. Upon getting there, I make no sight of Jaguar and my frantic efforts to get to the waiting lobby are thwarted by heavy security guards, who don’t give a damn about my rhetoric, that I am a good ol’ scribe in the line of duty, trying to investigate a story.
Worse so, even Jaguar’s mobile phone has been switched off.
As I ponder my next move, to my reprieve, a young man dressed in airport attendant’s gear sighs as he passes by, waving his hand, directing me to follow him. I oblige.
“I am the one who called you. I got some photos for you. Jaguar has just left in his new plane. He was with some musicians, and I am aware they have gone to Naivasha for the weekend,” he drops the shocker, before pulling out his camera in which there is a sequence of pictures of the singer standing by a sporty Bentley convertible and a six sitter plane, both christened with Jaguar’s name.
I can hardly identify the individuals but two look familiar; the two bodyguards Jaguar had been moving with during the campaign period after word went round he was working closely with (now) President Uhuru Kenyatta.
The informer, who now introduces himself, as John wants nothing to do with the story and pictures. In fact, all he asks for is a few coins to quench his throat over the weekend.
“Jaguar bought this plane during the campaigns and he is always coming here over the weekend to fly out. He was in Diani last weekend and now, he has left for Great Lake Resort in Naivasha. The Bentley left with someone else alongside another car,” John informs.
I hand the guy some little cash and in another minute, the pictures are safe in my flash disk… Mission accomplished, almost.

NO CAPTION!!!


UHURU KENYATTA ATANGAZA BARAZA LA MAWAZIRI


Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amelitangaza baraza lake la mawaziri ambalo kwa kiasi kikubwa limeundwa na sura ngeni na wengi wao ni wasomi waliobobea kwenye fani mbalimbali.
Katika majina 16 aliyopendekeza ambayo baadaye yatafanyiwa uchunguzi na Bunge kabla ya kuidhinishwa, Rais Kenyatta amezirejesha sura mbili ambazo zilizoeleka kwenye siasa za Kenya, ambao ni Najib Balala na Charity Ngilu.

NI LULU TENA! ABAMBWA AKIJIUZA COCO BEACH AKIJIUZA


HIZI NDIO HABARI KUBWA ZA JANA KAMA HUKUFANIKIWA KUZIPATA


Fears for hundreds missing in Dhaka Thursday, April 25, 2013 11:41:50 PM
Hundreds of Bangladeshis are still missing two days after a building collapsed near Dhaka, killing at least 273 people, local officials say.
'Many dead' in Russia hospital fire Thursday, April 25, 2013 10:21:44 PM
At least 38 people are feared to have been killed in a fire at a psychiatric hospital in the Moscow region, officials say.
Cancer 'threat' to Latin America Thursday, April 25, 2013 6:05:29 PM
Cancer is threatening to overwhelm Latin American countries, experts writing in Lancet Oncology warn.
No response from N Korea on talks Thursday, April 25, 2013 10:14:16 PM
North Korea has not responded to South Korea's calls for talks on resuming operations at the jointly-run Kaesong Industrial Complex, officials say.
Franz Joseph hair sold at auction Thursday, April 25, 2013 3:02:20 PM
A buyer pays 13,720 euros for a lock of hair belonging to the Austrian Emperor Franz Joseph in an auction in Vienna.

MAZITO YALIYOANDIKWA KATIKA BARUA MAALUM KWA DIAMOND NA MAMA YAKE


Mbeya region
P.O.BOX 0759209081
MBEYA

Dear diamond....
sina imani we ni mzima wa afya kutokana hasa na mambo unayofanya kiukweliii katika wasanii wakali mpaka kupitiliza hapa Tz wew ni mmoja wapo.. napenda sana vibonzo vyako hasa kile cha " nani amenuna nani amenuna eti nani amenuna" najua utakua umemalizia WEMA... katika kila shoo zako unazofanyaga mara nyingi huwa unataja kumheshim sana mama yako mzazi kutokana na malezi aliyokupa toka kipindi kile unauza MITUMBA.. lakini saiz unafanya mama wa watu aonekane alizaa toto zinzi ambalo kama limetumwa kuzini na kuumiza wanaume wenzie.. ivi unajua mke anauma kias gani hata kama wanajileta we ni mtu mzima ambaye unatakiwa kupembua mambo.... hasa kuhusu jambo la HILI MBURULA LENZIO UWOZO or SORRY I mean UWOYA.. unajua kabisa kaka yetu NDIKU ambaye anafanya kazi ngumu ya kukabana na wakina NSAJIGWA, FUSO uwanjani ili apate chochte cha kulisha family yake lakini wew bila huruma una ramba asali yake... ivi unajua mtoto wa uwoya "krish" atakopukua njiani kwenda shule wenzie watakua daily wakimuambia " mtoto wa kambo wa DOMO huyo' ivi dear diamond mbna unataka mama yako asipewe heshma sababu ya wew hujui ka unamfanya awe despsd infrnt of da pple...
najua hujaelewa coz elimu kwako ni tatizo utampigia wema akufafanulie ila usi mrecord coz anakusaidia ww.... au umea athirika unafanya kusambaza.. hawa wanawake wapo toka enzi za ma dinossaurs,,, mwambie penny akuambie MAANA ya dinossaurs.. huu mda unaoangaika na wanawake ungejiendeleza ata kielimu iyo 4m four itakufksha wap.. na wew mama diamond ivi huoni anachofanya mwanao unashindwa kumshauli au unataka uje kumwambia akishaanza kuharisha na kumvisha visepe.. ERIC SHIGONGO naomba ukiiona hii itupie kwenye ijumaa wikienda ili babu yangu wa ileje Ambaye hatumiii fb asome mana kila siku amekua akiipenda nyimbo ya mbagala bila kujua uovu wa aliyeimba kwa leo yatosha ila TACAIDS naamini itakutemblea diamond siku si nyingi kkupa matumizi sahihi ya ARV's

wako shabiki namba MOJA DUNIA NZIMA....... via mbele kuchungu

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...