Language

Saturday 27 April 2013

JUSTIN BIEBER HANA MSIMAMO KWA WANAWAKE, KAMBWAGA JASMIN VILLEGAS NA KUMRUDIA SELENA GOMEZ

Baada ya tetesi na ushahidi mwingi niliowahi kukupatia kupitia hapahapa BONMUSIC BLOG kuhusu Justin Bieber kurudiana na aliyekuwa mpenzi wake wa zamani Selena Gomez na kumuacha njia panda Jasmine Villegas ambaye ndiye mpenzi wake mpya, sasa Justine ametuma Hot picture katika Instagram, picha inayoashiria kila dalili ya mapenzi mazito kati yao.

Na kama picha ya  Justin Bieber na Selena Gomez haitoshi kuelezea kilichopo kati yao kwa sasa, maandishi yaliyo chini ya picha hiyo (caption) yameandikwa “umetengeneza muziki kwa muda mrefu mpenzi, njoo unikumbatie”…ni dhahiri kuwa maneno hayo yameandikwa na Selena Gomez. 

Jasmine Villegas
Pamoja na hilo, Beliebers na Seleantors wanazunguka pande mbali mbali za dunia pamoja wakisherehekea kwa kilichotokea  ni official confirmation kuwa wawili hao wako katika dimbwi la mapenzi tena.
 
Ni wazi kuwa Justin ameamua kuliweka penzi lake hadharani kwani wiki iliyopita pia nilikiujuza kupitia hapahapa na kukuonesha picha iliyowaonesha wawili hao wakikiss wakati Justin akiwa back stage.

Justin na Selena kupiga na kuweka picha nyingine za kimahaba? Katika picha hiyo Selena pia hakuwa na shirt kama Justin? Where are her hands positioned? Na nini kilifuata baada ya hiyo picha kupigwa?

SIZE 8 AILILIA BIKRA YAKE BAADA YA KUOKOKA


Mwanamuziki  aliyeitikisa vilivyo Kenya kabla ya kuokoka na kuachana na miziki wa kidunia, mwanadada Size 8 sasa ameanza kufunguka katika interview kwenye vituo mbali mbali vya redio na Tv kuhusiana na maisha mapya ya kidini.

Kati ya yote ambayo Size 8 amekuwa akiyaongelea, ni moja tu ambalo amekuwa akilitilia mkazo kwa kumaanisha kuwa linamsikitisha zaidi ni suala lake la kupoteza BIKRA, Size 8 amewaambia watu kuwa  "Najutia sana kupoteza bikra yangu. Ninaamini kuwa kijana anatakiwa kujilinda na kujizuia kufanya ngono katika ujana wake wote mpaka atakapo pata kibali toka kwa Mungu."
Pamoja na hayo yote Size 8 amewakata mate wanaume wote wakware (wapenda ngono) kuwa sasa hana tena nia ya kujiingiza katika mahusiano yoyote ya kimapenzi na badala yake anatafuta MTU MMOJA atakaye kuwa mwanaume wake wa maisha.
Inasemekana kuwa Size 8 alifanya maamuzi ya kuokoka baada ya kufanya  mapenzi na mwanaume ambaye baadae alimdanganya kuwa ameathirika na HIV, lakini yeye hajaliongea ilo katika interview zake.

DOWNLOAD WILL.I.AM feat.BRITNEY SPEARS VS DAVID SMESH - ONE MILLION SCREAM & SHOUT (BSHARRY MASHUP)

HABARI KUBWA TOKA BBC LEO APRILI 27


Arrests over Dhaka building collapse Saturday, April 27, 2013 1:28:51 AM
Two owners of garment factories in the building that collapsed in Bangladesh are arrested, as 24 more people are rescued from the rubble.
American faces trial in North Korea Saturday, April 27, 2013 1:37:48 AM
North Korea is to issue a verdict soon on a US citizen on charges including attempting to overthrow the government, the official news agency says.
Boeing Dreamliner takes off again Saturday, April 27, 2013 1:36:06 AM
An Ethiopian Airlines 787 Dreamliner takes off from Addis Ababa, the first commercial flight by the Boeing aircraft since all 787s were grounded in January.
'9/11 jet debris' found in New York Friday, April 26, 2013 11:37:00 PM
New York police say what they believe to be part of the landing gear of a plane flown into the World Trade Center on 9/11 has been found.
Armed drones operating from Britain Saturday, April 27, 2013 2:20:12 AM
Armed drone aircraft are operated remotely from Britain for the first time, the UK Ministry of Defence confirms.

KATE MIDDLETON


MECHI KUBWA ZA LEO APRILI 27 ENGLAND, ITALY NA SPAIN


HABARI ZILIZOTOKEA ZAIDI KATIKA MAGAZETI YA MICHEZO NA UDAKU LEO



PICHA MBALI MBAI ZA NDEGE ZA KIVITA ZIONAZOMILIKIWA NA JESHI LA TANZANIA KATIKA SIKU YA MUUNGANO WA TANZANIA
















Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...