Sunday, 3 March 2013

HABARI MUHIMU: MATUKIO KATIKA UCHAGUZI MKUU LEO KENYA

Hii leo wakenya wanapiga kura katika uchaguzi wa kihistoria chini ya katiba mpya. Foleni tayari zimeanza kushuhudiwa katika vituo.
Kinyang'anyiro ni kikali kati ya Muungano wa Cord na Jubilee wa Raila Odinga na

HABARI MUHIMU: WASOMI NA WANAHARAKATI WAMEMGOMEA KIKWETE

SIKU chache baada ya Rais Jakaya Kikwete kuwaagiza Polisi,wakuu wa mikoa na wilaya kutofanya ajizi kwenye suala la wachochezi wa kidini , badala yake wachukue hatua stahiki,baadhi ya wasomi na wanaharakati wamepinga kauli hiyo na kudai  ni maneno ya kisiasa.
Wamedai kuwa kuanzia Serikali ya Awamu ya Tatu hadi hii ya nne zimekuwepo kauli za kupiga marufuku kashfa dhidi ya dini nyingine lakini kukashifiana kumekuwa kukifanyika  tena  kwa uwazi bila hatua kuchukuliwa.

HABARI MUHIMU: CCM YAPATA PIGO, MJUMBE UVCCM AFIA HOTELINI ARUSHA

MJUMBE wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) taifa, kupitia Mkoa wa Arusha, Benson Mollel (26) amekutwa amefariki dunia ndani ya Hoteli ya Lush Garden Business,  iliyopo Mtaa wa Jacaranda katikati ya Jiji la Arusha.

Mashuhuda wa tukio hilo walisema Mollel alikutwa akiwa amekufa