Serikali za mataifa ya magharibi , hususan mkoloni wa zamani wa nchi hiyo ufaransa , imeeleza hali ya tahadhari baada ya muungano wa waasi hao wenye mafungamano na kundi la al-Qaeda kuukamata mji wa Konna siku ya Alhamis (10.01.2013), ikiwa ni njia ya kuingilia katika mji mkuu Bamako, kilometa 600 kusini mwa nchi hiyo.
Vichwa Vya Habari
Language
Sunday, 13 January 2013
HABARI: MAJESHI YA MALI YAWASHINDA WAASI
Serikali za mataifa ya magharibi , hususan mkoloni wa zamani wa nchi hiyo ufaransa , imeeleza hali ya tahadhari baada ya muungano wa waasi hao wenye mafungamano na kundi la al-Qaeda kuukamata mji wa Konna siku ya Alhamis (10.01.2013), ikiwa ni njia ya kuingilia katika mji mkuu Bamako, kilometa 600 kusini mwa nchi hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment