
Waandalizi wa mbio hizo wanasema watu
waliojiandikisha ilizidi mara nne baada ya shambulio la Boston.
Mkuu wa kamati ya Olimpiki ya Uspania
ambayo inajitayarisha kuomba kuandaa Olimpiki ya mwaka wa 2020, alisema
wanaoshiriki kwenye marathon wakiongezeka ndio sifa kubwa ambayo watu wa Madrid
wanaweza kuupa mji wa Boston.