Language

Showing posts with label MITINDO. Show all posts
Showing posts with label MITINDO. Show all posts

Wednesday, 1 May 2013

MAZOEZI YA MUHIMU YATAKAYOFANYA MATITI YAKO YASILALE


Kwanza kabisa hakikisha mtindo wa kulala ni kifudifudi (kulalia tumbo), kwa kufanya hivyo kunasaidia kwa kiasi kikuwa kufanya matiti yako yabaki/pumzike, kwamba hakuta kuwa na kuning'inia kama utakuwa umelala chali(lalia mgongo) au kiubavu.

Zoezi1
Asimame wima dhidi ya mlango au ukuta kisha aegeshe matiti yake mahali hapo kwa nguvu kisha aachie (ajitoe ukutani), zoezi hili hufanya matiti yaume sana lakini wewe kama dada/mama mpe moyo kuwa avumilie. Afanye hivyo mara 20 kila asubuhi.

Wednesday, 17 April 2013

KIM KARDASHIAN HAIRSTYLES



Kim Kardashian has bangs! OMG! OMG! Hours after the release of documents alleging phony divorce scenes that could shape Kris Humphries' case against her, she's apparently brushing it off.
And brushing her rockin' her hairdo!
"Bangs or no??!?!?!" the Kourtney & Kim Take Miami star posted almost an hour before following up with, "I did it! Blunt bangs!!! Thanks @philipwolffhair."
Between this and the Kim Kardashian baby bump, her look has certainly transformed a lot in the past few weeks. Question is ... do you like it? Vote below!
- See more at: http://www.thehollywoodgossip.com/stars/kim-kardashian/tags/celebrity-hairstyles/#sthash.fg4qR8hG.dpuf

Thursday, 11 April 2013

MWANAMITINDO LILLY PULITZER ROUSSEAU AMEFARIKI NA MIAKA 81



Lilly Pulitzer Rousseau, the iconic fashion designer of the brand that featured her name, died in Palm Beach, Fla., today, according to her company's Facebook page. She was 81 years old.

"Lilly has been a true inspiration to us and we will miss her," a statement said. "In the days and weeks ahead we will celebrate all that Lilly meant to us."
The company added of its founder: "Lilly was a true original who has brought together generations through her bright and happy mark on the world."
Her schoolmate Jacqueline Kennedy, while First Lady of the United States, was photographed wearing one of Pulitzer's dresses and made her a star.
The dress "was made from kitchen curtain material, and people went crazy," Pulitzer said in her book, "Essentially Lilly: A Guide to Colorful Entertaining."
"They took off like zingo. Everybody loved them, and I went into the dress business."
Her career sprang from her husband Peter's citrus groves, SI reported in 1968.
She opened an orange juice stand in Palm Beach, and designed her own colorful cotton shirts for herself to work in comfortably in the heat and humidity.
Soon, customers wanted to buy her shirts as well as the O.J.

Sunday, 31 March 2013

HUYU NDIYE NANCY SUMARY, MWANAMKE ANAYEJIAMINI


MREMBO wa Tanzania wa 2005, Nancy Sumari amesema kufanya kitu bila kuogopa kushindwa ndio siri ya kufanikiwa kwake katika mambo mbalimbali.

Akihojiwa katika kipindi cha Makutano kilichorushwa hewani wiki iliyopita kupitia kituo cha televisheni cha DTV, Nancy alisema katika maisha yake, haogopi kufanya kitu chochote hata kama hana uzoefu nacho.
Nancy alisema utamaduni wake huo wa kujiamini ndio uliomwezesha kushinda mataji ya Miss Dar Indian Ocean, Miss Kinondoni na hatimaye Miss Tanzania.
Mbali na kutwaa mataji hayo, Nancy pia alikuwa Mtanzania wa kwanza kuweka rekodi ya kushinda taji la Miss World Africa 2005 baada ya kufuzu kuingia hatua ya fainali.
Mama huyo wa mtoto mmoja alisema, kabla ya kujitosa katika mashindano ya urembo, aliwahi kufanyakazi kama muuzaji katika duka la fenicha na kulipwa mshahara wa sh. 120,000 kwa mwezi.
Alisema aliamua kufanyakazi hiyo baada ya kukwama kupata nafasi ya kujiunga na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kitivo cha sheria, kutokana na chuo hicho kutoruhusu mwanafunzi aliyemaliza kidato cha nne kwa elimu ya Kenya, kujiunga moja kwa moja kwa masomo ya shahada.

Wednesday, 27 March 2013

LULULEMON YOGA PANTS RETURN TEST: BEND OVER, LADIES!!!


On the heels of the highly-publicized recall of Lululemon yoga pants, some women say the company is asking them to bend over in front of in-store sales associates.
To determine if their yoga pants are "too sheer," obviously.
Last week, the yoga-inspired athletic company had to recall 17 percent of the pants (sold for roughly $100 each) bought between March 1 and March 8.
The reason? Their yoga pants' fabric was too see-through, inspiring a wave of jokes across the Internet and whiplash among men across North America.
The company posted on its blog:
"At the beginning of March, Lululemon stores and ecommerce site received some black luon women's bottoms that didn't meet our high standards."
"The materials used were the same but the coverage was not, resulting in increased sheerness. We want you to Down Dog and Crow with confidence."
"We felt these pants didn't measure up."
For unknown reasons, the company wouldn't disclose which pants were affected by the glitch, explaining only their relationship with manufacturer Eclat Textile:
"The items affected are certain styles of women's bottoms in our signature black Luon fabric" and that they "have not yet determined the cause of the sheerness."

Tuesday, 26 March 2013

MITINDO: FLAVIANA MATATA ATUMIKA KATIKA UTAPELI


KAMPUNI ya Compass Communications imewatahadharisha warembo  na wanamitindo wote nchini kutorubuniwa na genge la watu wanaotumia jina la Flaviana Matata kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...