Hii leo
wakenya wanapiga kura katika uchaguzi wa kihistoria chini ya katiba
mpya. Foleni tayari zimeanza kushuhudiwa katika vituo.
Kinyang'anyiro ni kikali kati ya Muungano wa Cord na Jubilee wa Raila Odinga na
SIKU chache baada ya Rais Jakaya Kikwete kuwaagiza Polisi,wakuu wa mikoa
na wilaya kutofanya ajizi kwenye suala la wachochezi wa kidini , badala yake
wachukue hatua stahiki,baadhi ya wasomi na wanaharakati wamepinga kauli hiyo na
kudai ni maneno ya kisiasa.
MJUMBE wa
Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) taifa, kupitia
Mkoa wa Arusha, Benson Mollel (26) amekutwa amefariki dunia ndani ya Hoteli ya
Lush Garden Business, iliyopo Mtaa wa Jacaranda katikati ya Jiji la
Arusha.