Vichwa Vya Habari
Language
Thursday, 21 March 2013
BURUDANI: UGAIDI WAMPELEKA JELA MIAKA 5 STAA WA MOVIE ZA KIHINDI (BOLLYWOOD) SANJAY DUTT
Mahakama ya juu kabisa nchini India leo imemhukumu mwigizaji filamu za
Kihindi maarufu kama Bollywood, Sanjay Dutt, kifungo cha miaka mitano gerezani
kwa kupatikana na silaha ambazo zilikuwa sehemu ya shehena ya silaha
zilizotumiwa katika shambulio la mjini Mumbai mwaka wa 1993.

Labels:
BURUDANI
HABARI MUHIMU: MASHUA ILIYOBEBA 160 IMEZAMA NIGERIA

Mashua hiyo, iliyoundwa kwa mbao, ilianzia safari yake huko
kusini-mashariki mwa Nigeria Ijumaa, ikielekea Gabon, safari kati ya Afrika
Magharibi na Kati inayopendwa na wafanyibiasahara wengi.
Tomi Oladipo wa BCC, akiwa mjini Lagos, anasema kwamba safari hizi
huchukua siku kadhaa, na huwa si salama sana. Kwa ajili hiyo ajali hutokea mara
kwa mara.
Mashua hiyo ilianzia safari mjini Oron, jimboni Cross River, na ilikuwa
inasafiri katika Ghuba la Guinea ilipozama, duru rasmi zimesema.
Labels:
HABARI MUHIMU
HABARI KWA UFUPI: HIZI NDIO HABARI ZILIZOTAWALA KWENYE VYOMBO VINGI VYA HABARI LEO KWA UFUPI
Kurd rebel leader calls Turkey truce Thursday, March 21,
2013 4:19:21 PM
The jailed leader of Kurdish rebels, Abdullah Ocalan, calls a ceasefire and urges his fighters to withdraw from Turkey after years of war.
The jailed leader of Kurdish rebels, Abdullah Ocalan, calls a ceasefire and urges his fighters to withdraw from Turkey after years of war.
Obama vows Palestinian state support Thursday, March 21,
2013 4:21:05 PM
President Barack Obama says the US is "deeply committed" to the creation of an independent Palestinian state during a visit to the West Bank.
President Barack Obama says the US is "deeply committed" to the creation of an independent Palestinian state during a visit to the West Bank.
Cyprus 'scraps bank levy' - new plan Thursday, March 21,
2013 3:52:13 PM
Cyprus has apparently dropped an unpopular levy on bank deposits, in an emerging new plan to secure a huge international bailout.
Cyprus has apparently dropped an unpopular levy on bank deposits, in an emerging new plan to secure a huge international bailout.
Labels:
HABARI KWA UFUPI
HABARI MUHIMU: MVUA YAUA 27 BRAZIL

Maporomoko hayo ya ardhi yaliukumba mji wa Petropolis baada ya mto
kufurika.
Kundi kutoka Brazilian National Force limetumwa eneoni ili kuwasaidia
waokoaji.
Labels:
HABARI MUHIMU
HABARI MUHIMU: ALIYEMGONGA TRAFIKI KUFIKISHWA KORTINI MUDA WOWOTE KUANZIA SASA

Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini(trafiki), Mohammed Mpinga
alisema hayo jana alipozungumzia tukio hilo ambalo lilisababisha simanzi kwa
watu wengi.
Mpinga alisema polisi walifanikiwa kumkamata mhusika kwa mbinu za
kipolisi na kwamba kwa jana alikuwa akihojiwa ili kupata ushahidi utakaowezesha
kumpeleka kortini.
Alisema dereva huyo ni kati ya wale wawili waliowakamata
awali na hatimaye mmoja walimbaini kuwa ni mhusika .
Labels:
HABARI MUHIMU
HABARI MUHIMU: TUME YA PINDA YAELEKEA KUPATA SABABU KUU ILIYOFELISHA WANAFUNZI KIDATO CHA NNE
Ukosefu wa walimu, upungufu wa vitabu na mazingira duni ya kujifunzia, ni
baadhi ya sababu zilizotolewa kwa wingi na wadau wa elimu waliohojiwa na Tume
ya Kuchunguza Matokeo ya Kidato cha Nne mwaka 2012 iliyoundwa na Waziri Mkuu.
Hayo yalielezwa jana na Mwenyekiti wa tume hiyo, Profesa Sifuni Mchome alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.
“Watu wengi wanasema sababu za matokeo kuwa mabaya ni shida ya walimu, vitabu
vichache na vingine vimepitwa na wakati, wanazungumzia pia usimamiaji wa shule
na ukaguzi,” alisema Profesa Mchome.
Labels:
HABARI MUHIMU
Subscribe to:
Posts (Atom)