Language

Thursday, 24 January 2013

BURUBANI: CHRIS BROWN-DON'T JUDGE ME LYRICS (IMEOMBWA NA HAJI RAMADHANI VIA FACEBOOK)

Verse 1:
I don't wanna go there
We should never go there
Damn why you wanna go there
I guess I gotta go there
You're hearing rumors about me
And you can't stomach the thought
Of someone touchin my body

BURUDANI: HOW DEEP IS YOUR LOVE LYRICS, SEAN PAUL FT. KERRY RAWLAND



[Sean Paul:]
Bada bang bang bang
Late by the King call
Over is all our brain
Baby girl, Listen what me sing yeah
Badabang, Bada bang bang bang ban
Sean Da Paul him ah the Don
Yo, girl just hold my hand,
I gotta let you know I am the man

Girl cause the way how ah wine,
And ah bubble it, bubble it

BURUDANI: ANGALIA PICHA 4 ZA MKE WA MTU AKIFANYA UCHAFU UKUMBINI

KITUKO cha aina yake kimejiri Jumamosi iliyopita ndani ya Ukumbi wa Meeda Sinza jijini Dar wakati Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’ ilipokuwa ikitumbuiza.





HABARI PICHA: HII NYUMBA NI.....HEBU ICHEK MWENYEWE


MITINDO: LEO TUFOCUS VIATU VIREFU VYA KIKE


MICHEZO: RATIBA YA MECHI ZA LEO KATIKA VIWANJA MBALI MBALI DUNIANI


HILI NDILO TAMKO LA KANISA LA MORAVIAN KUSINI

Halmashauri Kuu ya Kanisa la Moravian Jimbo la Kusini na bodi ya wadhamini wa mali za kanisa hilo, wametoa tamko zito la kumtaka Mwenyekiti wa Jimbo la Misheni Mashariki aliyesimamishwa, Mchungaji  Clement Fumbo kurudisha mali za kanisa na kuacha kujihusisha na shughuli za kanisa hilo.

Tamko hilo limekuja kufuatia Mchungaji Fumbo kujihalalisha siku za hivi karibuni kwamba yeye ni Mwenyekiti halali wa Jimbo la Misheni, ikiwa ni pamoja na kutangaza viongozi wapya wa halmashauri kuu jambo lililolenga kuwagawa waumini ndani ya kanisa hilo.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa Jimbo la Kusini, Clement Mwaitebele alisema alichokifanya Mchungaji  Fumbo ni ubatili mkubwa na kwamba ni kitendo kinachohatarisha amani ya Watanzania, hivyo kama viongozi wakuu wa kanisa wameamua kuingilia kati.
Alisema barua za kumtaka afanye hivyo tayari zimeshaandaliwa na kwamba akikaidi kurudisha ofisi, kuondoka katika Jengo la Usharika wa Tabata na

Wednesday, 23 January 2013

HABARI: HAYA NDIO MATOKEO YA UCHAGUZI ISRAEL

Wapiga kura wa Israel wamemuondowa patupu waziri mkuu Netanyahu anaekabiliwa na kazi ngumu kuweza kuunda serikali ya muungano 

Waisraeli wamepiga kura jana, na wamezusha maajabu. Mtangazaji wa zamani wa televisheni, Jair Lapid na chama chake cha kiliberali - Yesh Atid - amemaliza nafasi ya pili akijikingia viti 19 vya bunge la Knesset. Yeye ndiye mshindi mkubwa wa uchaguzi huo. Waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ameondolewa patupu na wapiga kura. Muungano wa vyama vya mrengo wa kulia vya Likud na Beitenu, anaouongoza, umejipatia viti 31 toka jumla ya viti 120 vya bunge la Israel - Knesset.
Baada ya ushindi kama huo, kimsingi mshindi hupanda ndani ya gari la fakhari

HABARI:WATU 23 WAMEUAWA NIGERIA KATIKA MASHAMBULIZI TOFAUTI

Washukiwa wa kundi la wapiganaji wa kiisilamu , wamelaumiwa kwa mauaji ya watu 23 katika mashambulizi tofauti Kaskazini mwa Nigeria
.
Walio shuhudia mauaji hayo wanasema kuwa washambuliaji waliwalenga watu waliokuwa wanauza nyama ya wanyamapori, katika eneo la Damboa siku ya Jumatatu na kuwaua watu 18.
Watu wengine watano walifariki Jumanne wakati kundi la wanaume waliokuwa wanacheza mchezo wa kamari walishambuliwa mjini Kano.
Kundi la Boko Haram, linalopigana kutaka kuweka sheria za kiisilamu, nchini Nigeria limekuwa likifanya mashambulizi, katika sehemu kadhaa nchini humo.
Boko Haram imelaumiwa kwa vifo vya takriban watu 1,400,

HABARI: SASA NI ZAMU YA CHADEMA KUIRARUA CCM

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimejibu CCM kuhusu kauli zake za hivi karibuni kuwa Chadema itakufa.Akihutubia Mwanza hivi karibuni, Nape Nnauye alikaririwa akisema Chadema itakufa kutokana na laana ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere na kwamba ni chama kilichojaa ubaguzi.
Akijibu kauli hiyo jana, Mkurugenzi wa Operesheni na Mafunzo wa Chadema, Benson Kigaila alisema chama hicho hakiwezi kulumbana na Nape.
Kigaila alisema Chadema haina makundi na haitakufa kwa laana ya Mwalimu Nyerere.
Tunataka kuwaambia kuwa Chadema haina ubaguzi hivyo haiwezi kufa leo wala kesho mpaka iwe imetimiza kazi yake ya kuwakomboa Watanzania. Kama ni suala la Mwalimu Nyerere, laana hiyo iko ndani ya CCM yenyewe,” alisema.
Akitaja sababu za kudai kuwa laana imo ndani ya CCM, Kigaila alisema chama hicho kimevunja umoja wa kitaifa uliojengwa na Mwalimu Nyerere na kwamba, alitunga kitabu kuwa CCM imeoza na kinanuka rushwa.
Aliongeza kuwa CCM ina laana ya Mwalimu kwa sababu imerasimisha ubaguzi kwa viongozi wanachama wao.
Ni haohao CCM wanaosema Chadema kina ukabila waliomzushia Dk Salim Ahmed Salim uongo kuwa ni Mwarabu na alihusika na kifo cha aliyekuwa mmoja wa waasisi wa taifa hili, Abeid Karume. Uchafu uliofanywa na wanamtandao,” alisema Kigaila.
Aliendelea kuituhumu CCM kwa kukandamiza haki za wafanyakazi, huku akitoa mfano wa tukio la kutekwa na kuteswa kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Tanzania (Mat), Dk Steven Ulimboka.
Pia, alitoa mfano wa wazee waliostaafu Jumuiya ya Afrika Mashariki ambao wanaodai mafao yao hadi leo, wakati Serikali ya Uingereza ilishalipa fedha zao tangu jumuiya ilipokufa mwaka 1977.
Kuhusu hatua ya kuwavua uanachama, baadhi ya viongozi wa Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha), Kigaila alisema chama hicho hakitavumilia makosa kama uzembe, ufisadi, udhaifu, ubadhirifu na usaliti.

Amshukia Mwigulu Nchemba
Pia, Kigaila alimshambulia Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Mwigulu Nchemba kwa madai kuwa, tuhuma alizotoa dhidi ya Chadema kwamba kinapanga mauaji, zinaidhalilisha Serikali na polisi.
Alimtaka Nchemba kupeleka ushahidi wa tuhuma zake kwenye vyombo vya sheria badala ya vyombo vya habari. “Tunataka kumwambia Rais Jakaya Kikwete, Mkuu wa Polisi, Said Mwema na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa, Othman Rashid kuwa ukimya wao... ni tafsiri kuwa polisi sasa inafanya kazi kwa kufuata amri za Chadema,” alisema Kigaila.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...