Language

Saturday, 13 April 2013

MZIMU WA HUGO CHAVES KWA WAVENEZUELA

Cannon fire resonates every afternoon in the working class neighbourhood of 23 de Enero in north-west Caracas.
The fire comes from the military headquarters where Hugo Chavez's remains lie: It marks the time of his death - 16:25 on 5 March.
A few metres from the headquarters there is a new chapel. Named after the neighbourhood where it stands, Saint Hugo Chavez del 23 is a tiny wooden shack.
People come to leave flowers and messages in front of a large poster of the former president, which hangs below the chapel's cross.
It is too early to come out of Mr Chavez's shadow”
John Magdaleno Politica analyst
"He was our father, our brother, our friend," said Elisabeth Torres, who takes care of the chapel.

Friday, 12 April 2013

ANGALIA NA UELEWE KILICHOPO


HIVI NI KWELI WANAUME HAWAJUI KULEA WATOTO WACHANGA:


CHINA'S GUAN TIANLANG, 14, SETS GOLF RECORD



Teenager Guan Tianlang was penalised for slow play at Augusta, but his overall score of four over was still enough to see him become the youngest golfer to make the cut at a major. 

Guan, 14, was given the one-stroke penalty after making par on the 17th, having earlier been warned for slow play during the Masters second round.
The Chinese player said: "I respect the decision. This is what they can do."
"Tianlang Guan's punishment is very unusual. Outside of the majors on the PGA Tour, it was last seen in 1995 with Glen Day at the Honda Classic.

KERRY IN CHINA AMID N KOREA TENSIONS



US Secretary of State John Kerry is in China, for a visit he has said he will use to urge Beijing to use its influence to rein in North Korea.
Mr Kerry's four-day tour of Asia comes amid speculation that North Korea is preparing for a missile launch.
In South Korea on Friday, he said that a policy of denuclearisation shared by the US and China had to have "teeth".
The US says there is no evidence North Korea can fire a nuclear warhead as suggested by a leaked US report.
North Korea has reportedly moved at least two Musudan ballistic missiles to its east coast.
A flurry of warlike statements from Pyongyang has prompted speculation that it might launch a missile - possibly on 15 April, when the country marks the 101st birthday of the nation's founder and former leader, Kim Il-sung.

MWANAMUZIKI LINET MUNYALI 'SIZE 8' WA KENYA AOKOKA NA KUACHANA NA MUZIKI WA KIDUNIA


LIGI KUU YA VODACOM INAPIGWA TENA LEO KATIKA VIWANJA MBALI MBALI



www.facebook.com/bonmusicblogLigi Kuu ya Vodacom inaendelea leo (Aprili 13 mwaka huu) kwa mechi mbili zitakazochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, na Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya.

Yanga itakuwa mwenyeji wa Oljoro JKT kwenye Uwanja wa Taifa wakati Uwanja wa Sokoine utakuwa mwenyeji wa mechi kati ya Tanzania Prisons na Ruvu Shooting.
Ligi hiyo itaendelea kesho (Aprili 14 mwaka huu) kwa mechi kati ya wenyeji Azam na Simba. Mechi hiyo namba 155 itachezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

TFF: UJUMBE WA FIFA KUFIKA TAREHE 15



Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linapenda kuwatangazia wadau wa mpira wa miguu kuwa ujumbe wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) utawasili nchini Jumatatu (Aprili 15 mwaka huu) kwa ajili ya kushughulikia mchakato wa uchaguzi mkuu wa TFF.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka FIFA, ujumbe huo utaongozwa na Mkuu wa Idara ya Uanachama ya FIFA, Primo Covarro na utafanya kazi kwa siku tatu kuanzia siku ya ujio na kuondoka Aprili 18 mwaka huu.
Ukiwa nchini, ujumbe huo utakutana na wagombea uongozi walioathiriwa na uamuzi wa Kamati ya Rufani ya Uchaguzi ya TFF ambao waliomba mashauri yao yaangaliwe upya, wagombea ambao walikata rufani FIFA, Kamati ya Uchaguzi ya TFF, Kamati ya Rufani na Sekretarieti ya TFF.
Wajumbe hao wangependa kukutana na waziri anayehusika na michezo, hivyo TFF imeiandikia Wizara ikipendekeza kuwa ujumbe huo ukutane na Waziri na wakuu wengine wa michezo Aprili 16 mwaka huu 2013 kabla ya kuanza kazi zao.

Wagombea watakaosikilizwa na ujumbe huo wa FIFA ni:
1.   Farid Salim Mbaraka Nahdi: Mgombea wa nafasi ya ujumbe wa Kamati ya Utendaji ambaye alienguliwa na Kamati ya Uchaguzi na baadaye rufani yake kwa Kamati ya Rufani ya Uchaguzi ya TFF kutupwa na hali kadhalika ombi lake la kutaka shauri lake liangaliwe upya, kukataliwa.

DOLA MILIONI 158 KUTATUA KERO YA MAJI ARUSHA



Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji safi na Maji taka Arusha, Injinia Ruthi Koya alisema kupatikana kwa kiasi hicho cha fedha ndiko kutatatua tatizo la maji.

Alisema mamlaka hiyo haina kiasi hicho cha fedha kwa sasa bali inategemea ruzuku ama mkopo ili kuweza kumudu kutatua tatizo la maji linalozidi kulikabili jiji hilo, hasa baada ya kuongezewa maeneo kutoka wilayani Arumeru.
Injinia Koya alitaja maeneo ambayo hadi sasa hali ya upatikanaji maji si nzuri ni pamoja na Olasity, Kwa Mrombo, FFU na baadhi ya maeneo ya Mianzini ambapo jitihada zinafanywa kupunguza makali hayo.
Alifafanua kuwa baada ya mamlaka hiyo kuchimba kisima kirefu katika eneo la Sombetini, wanatarajia kuyasambaza maji hayo katika maeneo ya Olasity na Kwa Mrombo ambako kuna tabu kubwa ya maji.
Alisema uwezo wa mamlaka hiyo kwa sasa ni kuzalisha lita za ujazo milioni 45,000 kwa siku huku mahitaji halisi yanayotakiwa ni lita milioni 93,270 kwa siku hivyo kuwa na changamoto kubwa ya kufikia malengo hayo.
Aliomba wananchi kumvumilia kwa kipindi cha miaka mitano kuweza kutatua changamoto hiyo ya upatikanaji maji safi na huduma ya uondoaji maji taka mjini

KIM KARDASHIAN AANIKA KITUMBO CHAKE


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...