Language

Thursday, 18 April 2013

SHIRIKA LA UNICEF NA HOFU YA VIFO VYA WATOTO AFRIKA YA KATI



Shirika la kuwahudumia watoto la umoja wa mataifa UNICEF, limeelezea hofu ya kuongezeka kwa idadi ya watoto wanaouawa katika Jamuhuri ya Afrika ya Kati.

UNICEF linasema kuwa watoto hao wanajipata katika maeneo ya vita wakati makundi yaliyojihami yanapopambana viwanjani na hata makanisani.
Aidha shirika hilo limesema kuwa takriban watoto watatu waliuawa na wengine zaidi ya ishirini kujeruhiwa vibaya siku ya ijumaa.
Linadai kuwa watoto hao wamesajiliwa kama wapiganaji katika makundi ya waasi.
Kumekuwa na mapigano pamoja na uporaji katika mji mkuu Bangui baada ya waasi kuuteka mji mkuu mwezi jana.

FADHIL MAJIA ARUDI NA KOMBE NCHINI TOKA INDONESIA


HOSNI MUBARAK ARUDISHWA JELA



Aliyekuwa rais wa Misri, Hosni Mubarak, amerejeshwa jela kutoka hospitalini mjini

Shirika la habari la nchini humo MENA limesema kuwa bwana Mubarak alipelekwa hospitalini viungani mwa mji wa Cairo akiwa chini ya uilinzi mkali.
Kiongozi wa mashtaka nchini humo aliamuru Mubarak kurejeshwa jela baada ya kuonekana mwenye nguvu huku akiwapungia mkono wafuasi wake.
Kesi ya mauaji ya waandamanaji dhidi yake itaanzishwa upya mnamo Jumatatu.
Maperma wiki hii mahakama iliamuru Mubarak kutolewa jela baada ya ombi la wakili wake kuwa miaka miwili imepita kabla ya kesi dhidi ya Mubarak kutofanyiwa uamuzi wowote katika kipindi hicho.
Chini ya sheria za Misri mtu hawezi kuwa jela zaidi ya miaka mahakama ikiwa haijatoa uamuzi katika kesi inayomkabili.

RATIBA YA MECHI KUBWA ZA KESHO APRILI 19


Wednesday, 17 April 2013

PAKISTAN COURT ORDERS ARREST OF FORMER PRESIDENT MUSHARRAF



A Pakistani court ordered the arrest of former president Pervez Musharraf on Thursday in connection with charges relating to his showdown with the judiciary in 2007 when he was still in power, television channels and one of his aides said.

The former army chief returned to Pakistan last month after nearly four years of self-imposed exile to contest a May 11 general election, despite the possibility of arrest on various charges and death threats from the Pakistani Taliban.
Election officials had barred Musharraf from running for the National Assembly earlier this week, effectively derailing his attempts to regain a place in politics by standing at the polls.
Although Musharraf's legal battles have provided an electrifying sideshow in the election race, he commands scant popular support and the outcome of the drama is unlikely to have much impact on the final results.
Former Prime Minister Nawaz Sharif, the man Musharraf ousted in a coup in 1999, is seen as the frontrunner to win the premiership.

MSIMAMO WA LIGI KUU ENGLAND BAADA YA MECHI ZA APRILI 17


MATOKEO YA MECHI KUBWA ZA APRILI 17


KIM KARDASHIAN HAIRSTYLES



Kim Kardashian has bangs! OMG! OMG! Hours after the release of documents alleging phony divorce scenes that could shape Kris Humphries' case against her, she's apparently brushing it off.
And brushing her rockin' her hairdo!
"Bangs or no??!?!?!" the Kourtney & Kim Take Miami star posted almost an hour before following up with, "I did it! Blunt bangs!!! Thanks @philipwolffhair."
Between this and the Kim Kardashian baby bump, her look has certainly transformed a lot in the past few weeks. Question is ... do you like it? Vote below!
- See more at: http://www.thehollywoodgossip.com/stars/kim-kardashian/tags/celebrity-hairstyles/#sthash.fg4qR8hG.dpuf

KAMA HUJAIPATA MAJANGA YA SNURA DOWNLOAD HAPA PIA UNAWEZA KUISIKILIZA HAPA HAPA

NO CAPTION


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...