Language

Tuesday, 5 February 2013

HABARI: HII NDIO MBINU MPYA YA USAFIRISHAJI WA MADAWA YA KULEVYA

WAKATI nchini Zimbabwe wanawake wakitumia pampers kukuza ukubwa wa makalio yao, nchini Marekani wamekuwa wakitengeneza pampers za cocaine, ambazo huvaliwa  na kusafirisha dawa hizo nchi mbalimbali pasipo kugundulika.
Mbinu hiyo mpya imedaiwa kuwagharimu muda mrefu waandaaji kutengeneza pampers hizo na baada ya kukamilika huvaliwa kitaalamu nje ya nguo zao za ndani na huvalia suruali au baibui tayari kwa kuanza safari.
Maofisa wa forodha kwenye Uwanja wa Ndege wa JFK wamegundua mbinu hiyo mpya mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya kuwatia mbaroni wanawake wawili kutoka Bronx wakiwa wamevalia

Saturday, 2 February 2013

HABARI: HII NDIO SIRI YA MGOGORO WA MTWARA

MOJA ya mambo yaliyoamsha hisia za wakazi wa Mkoa wa Mtwara hadi kushinikiza kwa vurugu wakitaka gesi isitoke mkoani humo, ni taarifa kuwa nishati hiyo ingepelekwa wilayani Bagamoyo, nyumbani kwa Rais Jakaya Kikwete.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alisema jana nyumbani kwake mjini Dodoma kuwa, mbali na imani hiyo, amebaini pia kuwa mpasuko ndani ya CCM mkoani Mtwara na harakati za kisiasa ni sababu nyingine iliyochochea mgogoro huo.
Pinda alikuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mgogoro huo ambao ulisababisha vifo vya watu wanne huku wengine wakijeruhiwa vibaya na uharibifu mkubwa wa mali zikiwamo nyumba za wabunge kuchomwa moto na namna alivyofanikiwa kuuzima.
Waziri Mkuu alifanya ziara ya siku mbili mkoani Mtwara, Januari 25 na 26 mwaka huu na kufanikiwa kuzima mgogoro huo baada ya kufanya mazungumzo na makundi mbalimbali ya wadau wa gesi mkoani humo.
“Sasa hili nililitolea ufafanuzi kwa kukanusha kuwa siyo kweli kwamba gesi inakwenda Bagamoyo. Lakini pia baada ya kukaa nao nilibaini kuwa hata viongozi wenyewe wa CCM hawako pamoja,” alisema Pinda na kuongeza:
“Pamoja na hayo nikachukua

HABARI: MTANGAZAJI WA REDIO TZ AMEKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA KENYA

MAMLAKA ya Mapato Kenya(KRA),inamshikilia mwandishi wa habari wa Tanzania kwa tuhuma za kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroin kiasi cha kilo 5.436 zenye thamani ya karibu Sh234 milioni.
Mtanzania huyo ambaye aliwahi kuwa mtangazaji katika kituo kimoja cha redio nchini, alikamatwa akiwa anataka kusafirisha dawa hizo kwenda China.
Mamlaka ya Mapato Kenya inataka kutaarifu maendeleo ya sakata la kukamatwa kwa kilo 5.436 za heroin zilizokamatwa Januari 23 mwaka 2013 saa 4:40 usiku.”
Imethibitika kuwa kilichokamatwa ni dawa aina ya heroin yenye thamani ya Sh13 milioni za Kenya…kwamba mtuhumiwa… (Jina tunalo kwa kuwa hajafikishwa mahakamani) hakuwa mwanafunzi lakini ni mtangazaji wa redio nchini Tanzania.”
Ametambulika kuwa mtangazaji wa kituo kimoja cha redio kwa tuhuma za kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroin zenye thamani ya

Tuesday, 29 January 2013

MICHEZO: DROGBA KUICHEZEA GALATASARAY KWA MWAKA MMOJA NA NUSU


Galatasaray imemsajili aliyekuwa mshambulizi wa Chelsea Didier Drogba kutoka kwa klabu ya Shanghai Shenhua inayoshiriki katika ligi kuu ya Premier nchini Uchina.

Galatasaray inayocheza ligi kuu nchini Uturuki, imethibitisha kuwa Drogba amesaini mkataba wa miezi kumi na minane na klabu hiyo.
Mchezaji hiyo mwenye umri wa miaka 34, kwa sasa yuko nchini Afrika Kusini kuiongoza kikosi cha Ivory Coast katika mashindano ya kuwania kombe la mataifa ya Afrika.
Kwa mujibu wa ujumbe uliotumwa na kampuni ya uhusiano bora inayomuakilisha mchezaji huyo Sports PR Company na kuchapishwa kwa mtandano wa kijamii wa Twitter, Drogba alisema anajiandaa kurejea tena katika michuano ya kuwania kombe la klabu binga barani ulaya kwa mara nyingine.
Galatasaray imefuzu kwa raundi ya muondoana ya kuwania kombe hilo na imepangiwa kucheza na FC Schalke 04 kutoka uUjerumani.
''Hii ni fursa nzuri ya kuichezea timu kubwa na ni nafasi ambayo siwezi kupuuza'' Alisema Drogba.

MICHEZO: DONDOO: MARIO BALOTELI KWENDA AC MILAN


BURUDANI: ENRIQUE IGLESIAS-I HAVE ALWAYS LOVED YOU LYRICS

Since the beginning of time
Since it started to rain
Since I heard you laugh
Since I felt your pain
I was too young, you were much younger
We were afraid of each other`s hunger
I have always loved you
There`s never been anyone else
I knew you before I knew myself
Oh my baby,
I have always loved you
Since we kissed the first time
Since we slept on the beach
You were too close for comfort
You were too far

MICHEZO: UPDATES/MATOKEO YOTE YA MECHI ZA JANUARI 29 HAYA HAPA



MITINDO: MAVAZI YANAYO WAFAA WANAWAKE WEMBAMBA




Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...