Language

Friday, 8 March 2013

HABARI ZA UCHAGUZI MKUU KENYA: UHURU KENYATTA KUWA RAIS MPYA KENYA


Matokeo ya mapema ya uchaguzi wa urais nchini Kenya yanaonyesha Uhuru Kenyatta ameshinda na kuepuka raundi ya pili ya uchaguzi. Takwimu kutoka tume ya uchaguzi zinasema Kenyatta ameshinda asilimia hamsini nukta tatu za kura zote zilizopigwa.

Lakini tume ya uchaguzi itakagua hesabu hiyo kabla ya kutangaza matokeo baadaye leo jumamosi, siku tano baada yawakenya kupiga kura.

HABARI MUHIMU: MBUNGE ROSE KAMILI ANATAFUTWA NA POLISI


Polisi Mkoa wa Manyara inamsaka Mbunge wa Viti wa Mkoa wa Manyara(Chadema), Rose Kamili pamoja na watu wengine wanne kwa tuhuma za kufunga ofisi ya kijiji cha Basotu kwa zaidi ya wiki moja sasa.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara, Akili Mpwapwa alisema jana kuwa wanamsaka mbunge huyo,pamoja na wenzake ili watowe maelezo kuhusiana na tukio hilo kabla ya kufikishwa mahakamana.
Mbunge Kamili alipoulizwa jana kuhusiana na kusakwa huko, alikiri kupata taarifa lakini akasema,kama polisi wanamuhitaji wamfuate nyumbani  kwani wanapajua.

HABARI MUHIMU: DAWA ZA KUTULIZA MAUMIVU ZINAMADHARA MAKUBWA KIAFYA, SOMA HAPA

Dawa maarufu za maumivu zilizozagaa katika maduka ya dawa nchini zinatajwa kuchangia ugonjwa wa kiharusi, moyo, vidonda vya tumbo na vifo vya ghafla, imebainika.

Imeelezwa kuwa watu wanaotumia dawa za kutuliza maumivu za Ibuprofen, Diclofenac na Diclopar mara kwa mara wapo katika hatari ya kupata maradhi ya moyo na kiharusi kwa asilimia 40 na hufa vifo vya ghafla.

BURUDANI: KAMA WEWE NI MDAU WA MUZIKI TZ, HII INAKUHUSU MOJA KWA MOJA


BURUDANI: HIZI NDIO NYIMBO 10 AMBAZO WATU WAMEZITWEET ZAIDI WIKI HII


BURUDANI: LIST YA NYIMBO KUMI AMBAZO ZIMEKUWA DOWNLOADED ZAIDI WIKI HII HIZI HAPA


HABARI MUHIMU:MTU ALIYE BADILIKA KUWA ALBINO RUNGWE...STORY KAMILI IKO HAPA


MTU mmoja mkazi wa Kijiji cha Igogwe kata ya Bagamoyo wilayani Rungwe mkoani hapa amebadirika ghafra na kuwa mlemavu wa ngozi (Arbino).

Akisimulia maajabu hayo mtu huyo  Neema  Masebo (26) alisema kuwa alipatwa na mkasa huo alipokwenda kijijini kwao kuwasalimia wazazi wake akitokea nyumbani kwake jijini Mbeya.
Neema alisema kuwa Mama yake mzazi Tumaini Mlawa alipoona hali hiyo alimkimbiza katika hospital ya Wilaya ya Rungwe Makandana kwa ajili ya matibabu ambapo alilazwa siku 7 lakini hali yake ikaanza kubadirika kuwa mbaya huku ngozi yake ikianza kuchubuka taratibu hadi alipobadilika na kuwa mlemavu wa ngozi yaani (Albino).

BURUDANI: HII NDIO LIST YA NYIMBO ZILIZOPATA LIKES NYINGI ZAIDI KATIKA FACEBOOK NA TWITTER WIKI HII


MICHEZO: KAMA HUKUZIJUA, BASI HIZI NDIO MECHI KUBWA ZILIZOKUWA ZINASUBILIWA LEO KATIKA VIWANJA MBALI MBALI DUNIANI


BURUDANI: BEEF YA CHRIS BROWN NA DRAKE BADO MOTO

Chris’ beef with Drake seemed to be far from over as the ‘Turn Up The Music’ artist blasted Drake in front of a packed Hollywood night club on Mar. 6, but a source tells Hollywood.com EXCLUSIVELY that it’s not as serious as it may seem! Read on for the explosive details.

Chris Brown unleashed serious venom towards Drake on Mar. 6 at the Emerson Theatre in Hollywood. The singer reportedly made the DJ, who was playing Drake’s song “Started From The Bottom,” stop the music so he could address the crowd and say “f**k Drake.”
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...