Language

Monday, 18 March 2013

AFYA: AFYA YA MAMA NA MTOTO

Ikiwa mama na mtoto wanaishi na VVU na wanatumia dawa, watumie dawa kama walivyoshauriwa na mtoa huduma wa afya. Dawa zote zihifadhiwe vizuri.

BURUDANI: DOWNLOAD WIMBO WA MEEK MILL-DREAMS & NIGHTMARE

MICHEZO: RATIBA YA MECHI ZA LEO AMBAZO BADO HAZIJACHEZWA


AFYA: TUMIA VEMA VYOMBO VYA MAWASILIANO KULINDA AFYA YAKO


WATANZANIA wametakiwa kuwa na matumizi sahihi ya Kompyuta, Televisheni na Simu ili kuepusha athari katika miili yao.

Akizungumza katika Kanisa la Tanzania Assembiles of God Amani Cathedral Centre kwa Mchungaji Benjamin Bukuku, Mwezeshaji Konya Alex amesema vifaa hivyo ni muhimu katika utendaji wa kazi hususani katika Ulimwengu huu wa digitali.
Konya amesema watanzania hawatakiwi kuviacha kuvitumia kutokana na ukweli kwamba vina umuhimu mkubwa sana katika maisha ya kila siku hivyo umakini katika kutumia utapunguza athari katika miili ya binadamu.

HABARI KWA UFUPI: HABARI KUBWA DUNIANI ZA MACHI 18 HIZI HAPA KWA UFUPI

Cyprus MPs in bailout crisis session Monday, March 18, 2013 12:17:45 PM
Cyprus' parliament will hold an emergency session on a bailout deal, amid public anger over demands that bank customers pay a one-off levy.
Italy envoy has 'no legal immunity' Monday, March 18, 2013 10:41:39 AM
India's Supreme Court says Italy's envoy has no immunity, in an escalating row over Rome's refusal to return two marines charged with murder.
Deepest ocean 'teems with microbes' Monday, March 18, 2013 4:39:47 AM
The deepest place in the ocean - the Mariana Trench, in the Pacific Ocean - is teeming with microscopic organisms, scientists find.

MITINDO: HAIR STYLES


HABARI PICHA: BONGO MOVIE STAR JACOB STEPHEN (JB)


HABARI MUHIMU: HUYU NDIYE MWANDISHI ALIYE ACHILIWA HURU NA MAHAKAMA SOMALIA


Mahakama kuu ya mjini Mogadishu Somalia imemwaachilia huru mwandishi wa habari ambaye alifungwa kwa sababu ya kumhoji mwanamke aliyesema amebakwa.

Katika kesi iliyolalamikiwa kimataifa, mwandishi huyo, Abdilaziz Abdinuur, awali alipewa hukumu ya kifungo cha mwaka mmoja kwa kumhoji mwanamke ambaye alisema alibakwa na wanajeshi wa serikali.

Sunday, 17 March 2013

HABARI MUHIMU: MWANAJESHI MWINGINE WA UFARANSA AUAWA MALI

Ufaransa imetangaza kuwa mwanajeshi wake mwengine ameuwawa kwenye mripuko kaskazini mwa Mali.


Huku nyuma mawaziri wa nchi za kanda hiyo wamekutana mjini Nouakchott, Mauritania, kujadili swala la Mali wakiwa pamoja na waakilishi wa Umoja wa Mataifa, Umoja wa Afrika, na Umoja wa Ulaya.
Mwanajeshi huyo aliyeuwawa ni askari wa tano wa Ufaransa kufa kwenye vita dhidi ya wapiganaji.

BURUDANI: LYRICS: SHE DOESN'T MIND-SEAN PAUL

"She Doesn't Mind"
Ouuh

Girl I got you so high, and I know you like,
So come and push it on me, if it feels alright,
When you drop it low, and break me off,
No, she doesn't mind (aight)
She doesn't mind (aight)
She doesn't mind.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...