Language

Saturday, 16 March 2013

HABARI MUHIMU: VYETI VYA WALIMU KUCHUNGUZWA KWA KINA

Wadau wa elimu Halmashauri ya Wilaya ya Bunda,  mkoani Mara, wameshauri Serikali kufanya ukaguzi wa kina wa vyeti vya taaluma za walimu, ili kubaini kama wanaovitumia ndiyo wamiliki wake halisi. 

Hatua hiyo  inatokana na vyeti hivyo kuonyesha ufaulu mzuri kwa baadhi ya walimu wilayani hapa, lakini hawana uwezo wa kufundisha darasani.
Wakichangia maoni kwenye mkutano wa kujadili maendeleo ya elimu wilayani hapa uliofanyika juzi, wadau hao walisema hali hiyo inaifanya shule kuwa na idadi kubwa ya walimu, lakini  hawana taaluma ya ualimu.
Walisema kwamba hali hiyo ndicho chanzo cha  kushusha kwa taaluma shule za msingi na sekondari.

HABARI PICHA: WAKATI UNATUPA MTOTO AU KUTOA MIMBA WENGINE WANAENJOY NA WANAO



Friday, 15 March 2013

HABARI PICHA: STAA WA BONGO MOVIE TINO


HABARI MUHIMU: AFYA YA MAMA NA MTOTO

Lala pamoja na mtoto wako kwenya 

chandarua chenye dawa kila siku kuzuia malaria. 
Muwahishe mtoto ndani ya 

masaa 24 kwenye kituo cha kutolea huduma za afya iwapo utahisi 

anaumwa.

MITINDO: FOR DUDES


MICHEZO: MSIMAMO WA LIGI KUU YA UINGEREZA EPL


BURUDANI: LYRICS: ONE DOSE-BOBBY V

You’re super fine yeah you know
I’m tryin put you on my ..
I’m tryin to keep you on my side
take..is good for you

MICHEZO: HIZI NDIO MECHI KUBWA ZA LEO DUNIANI


BARUDANI: FLAVIANA MATATA AMEWALIST WANAMUZIKI 9 WA BONGO FLEVA ANAOWAPENDA ZAIDI

Mwanamitindo ambaye anaendelea kupeperusha vizuri bendela ya Tanzania duniani kupitia tasnia ya urembo, Flaviana Matata, leo ametweet katika account yake ya tweeter na kuwataja wanamuziki ambao yeye anawakubali kwa kazi zao.



Flaviana amewalist wanamuziki hao kuwa ni MwanaFA, Ay, Professor Jay, Lady Jaydee, FidQ, C Pwaa, Ngwair, Vanessa Mdee na Ommy Dimpoz.

MICHEZO: TFF YAPIGA MARUFUKU FREE PASS VIWANJANI


Kutokana na uamuzi huo hakutakuwa tena na pasi za bure kwa ajili ya kushuhudia mechi zilizo chini ya usimamizi wa moja kwa moja wa TFF katika viwanja mbalimbali nchini.
Uamuzi huo umetokana na ukweli kuwa free pass zimekuwa zikipunguza au kuchukua mgawo wote wa TFF kwenye mechi, na wakati mwingine Shirikisho hulazimika kutoa fedha za ziada kugharamia pasi hizo.
Pasi zote ambazo imekuwa ikitoa kwa wadau wake hukatwa katika mgawo wa TFF katika mechi husika. Shirikisho hivi sasa linapata asilimia nne tu ya mapato katika mechi za Ligi Kuu, ligi ambayo hivi sasa inaendeshwa na Kamati yake ya Ligi.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...