Language

Wednesday, 27 March 2013

MAHAKAMA IMETUPIA MBALI PINGAMIZI LA MATOKEO YA UCHAGUZI KENYA

Mahakama ya Juu (Supreme Court) nchini Kenya jana ilitupilia mbali viapo viwili katika kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi Uhuru Kenyatta wa Muungano wa Jubilee.

Maombi yaliyotupwa ni lile la muungano wa mashirika yasiyo ya kiserikali lililoitaka mahakama iamuru tume ya uchaguzi kufikisha mahakamani hapo nyaraka zote zilizotumika wakati wa uchaguzi huo.
Kadhalika mahakama hiyo ilitupilia mbali hati ya kiapo yenye kurasa 839 kilichowasilishwa na upande wa Muungano wa Cord ambacho kilidai kwamba kura katika majimbo 120 zilikuwa haziwiani na idadi ya wapigakura, hivyo kuitaka mahakama hiyo iitishe uchunguzi wa kina kwa daftari hilo pamoja na kura zilizopigwa.

MUZIKI GANI YA NEY WA MITEGO NA DIAMOND IMEBUMA


'Muziki Gani' wimbo ulioimbwa na Naseeb Abdul 'Diamond' pamoja na Nay wa Mitego uliojipatia umaarufu mkubwa tangu kutolewa wiki mbili zilizopita, umeshaenea kwa Watanzania wengi huku wasanii hao wakidai kuwa hawajapata hata shilingi 100 kupitia wimbo huo.

Wakizungumza na Mwananchi jana kwa nyakati tofauti wasanii hao walisema wimbo huo ulijizoelea umaarufu mkubwa huku mashabiki wakipakua muziki huo kwa kasi kupitia mitandao na blogu mbalimbali.

HABARI KUBWA ZA LEO DUNIANI KWA UFUPI


Bank of Cyprus head Kypri 'sacked' Wednesday, March 27, 2013 3:36:58 AM
Yiannis Kypri, chief executive of Bank of Cyprus, the country's biggest bank, has been ousted by the Cypriot central bank, state media says.
NGO fears as Russian raids multiply Wednesday, March 27, 2013 3:08:24 AM
Senior EU officials voice concern as checks by Russian tax inspectors on foreign-funded non-governmental organisations multiply.
Anti-cyber threat centre launched Tuesday, March 26, 2013 7:02:20 PM
A new initiative to share information on cyber threats between businesses and government in the UK is launched, amid rising global concerns.

BANDA AKANUSHA MASHTAKA


Rais wa zamani wa Zambia Rupiah Banda amesema hana hatia katika kesi anayokabiliwa nayo ya kutumia vibaya mamlaka wakati wa kipindi chake cha uongozi.

Mashtaka anayokabiliwa nayo Banda yamehusishwa na mkataba alioidhinisha kati ya nchi hiyo na Nigeria kuhusu uuzaji wa mafuta ambao wendesha mashtaka wanasema ulinuia kufaidi bwana Banda na familia yake.
"hapana bwana Jaji , nakanusha mashtaka ,'' Banda alimbia jaji.

WAKIMBIZI SOMALIA WANADHU


Shirika la kutetea haki za kibinadamu, Human Rights Watch, limesema kuwa makundi yaliyojihami nchini Somalia ikiwemo majeshi ya serikali, yamefanya vitendo vya ubakaji, kuwachapa na kuwadhulumu watu walioachwa bila makao au wakimbizi.

Ripoti ya shirika hilo imegusia wale watu waliokimbia vita tangu mwaka 2011 kwa sababu ya njaa, na sasa wanaishi katika kambi mjini Mogadishu.
Katika ripoti hiyo mpya, shirika hilo limesema kuwa wasimamizi wa kambi hizo , wanaojulikana kama walinzi, huiba msaada wa wakimbizi hao na hata kuwadhulumu.

WAFANYA KAZI ZA NYUMBANI SASA KUPATA HAKI ZOTE BRAZIL


Baraza la Senate nchini Brazil, limepitisha bila pingamizi, mswaada wa kihistoria unaowapa haki sawa wafanyakazi wa majumbani na wale na maofisini kote nchini.

Sheria hiyo mpya, inafafanua idadi ya siku za kazi ambazo wafanyakazi hao pamoja na wapishi wanaweza kufanya kazi na hata kiwango cha ziada cha marupuupu watakachopata.
Mageuzi hayo ya kikatiba yataanza kutekelezwa wiki ijayo wakati ambapo rais wa nchi hiyo Dilma Rousseff atatia saini,mswaada huo.
Mswaada huo unaojulikana kama mswaada wa wafanyakazi wa majumbani, una uwezo wa kutikisa tamaduni za nchi hiyo kuhusiana na ajira ya wafanyakazi hao.

Tuesday, 26 March 2013

JUSTIN BIEBER ACCUSED OF BATTER, INVOLVED IN INTENSE


Justin Bieber returned last night for a brief rest from the international leg of his Believe tour. But it was anything but a happy homecoming.

KIM KARDASHIAN : KANYE WEST LOVES MY GROWING BODY!


Kim Kardashian is ignoring the haters and focusing on the lover.
In a new interview with E! News, Kim addresses the recent tabloid covers that scream about her weight gain, but says she doesn't care because there's only one person whose opinion she values.

"[Kanye] loves it and just embraces it," Kardashian says of her expanding figure. "And he's helped me to really feel sexy and embrace it."
Kim laughs at the magazines who all say she "weighs like 500 pounds" and says she wishes that were the case.
Instead, she's allegedly turned off by junk food. What does she chow down these days in that case?
"I crave carrots and celery with ranch. I have to have that once a day, and protein bars."
Kardashian is due in July, the same month the Kate Middleton baby is set to arrive.
And that multi-million dollar deal she'll make with a tabloid to publish the photos that yell KIM GETS HER BIKINI BODY BACK? It ought to be finalized by August.

MIRROR LYRICS-JUSTIN TIMBERLAKE


"Mirrors"
Aren't you somethin' to admire?
Cause your shine is somethin' like a mirror
And I can't help but notice

ISIKILIZE NA UIDOWNLOAD JOHN LEGEND feat. RICK ROSS-'WHO DO WE THINK WE ARE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...