Odama mwigizaji wa filamu Swahiliwood.KILA jambo lina uzuri wake na kwa wasiolewa wanaweza kuleta tafsiri tofauti na wahusika au mhusika, mwaka huu mwanadada Jennifer Kyaka ‘Odama’ anayefanya vema katika tasnia ya filamu Swahiliwood katika kuimalisha kampuni yake na kujiongezea kipato, kampuni yake ya J- Film 4 Life, alitengeneza kalenda iliyosheheni picha za wasanii wa filamu, maneno yakazuka.

Baada ya kusikia minong,ono hiyo FC ilifuatilia suala hili kwa undani na kubaini kweli kutokuwepo kwa picha ya Mussa Banzi katika picha zilizoremba kalenda hiyo ikiwa ni mmoja kati ya watu wenye mchango mkubwa kwa msanii huyo kufanikiwa katika tasnia ya filamu Bongo, FC iliongea na Odama.
.
No comments:
Post a Comment