
“Unajua shemeji yetu (Mlela) alikuwa anakuja sana hapa chuoni lakini baada ya kuambiwa yule Salha ana ujauzito wake, aliruka viunzi na kusema hahitaji mtoto, atoe mimba.
“Salha alipokataa ndipo Mlela alipoamua kukata mguu kabisa, tukawa hatumuoni,’’ kilisema chanzo hicho.
Alipotafutwa Mlela kuhusiana na ishu hiyo, alimkana mwanafunzi huyo na kusema hamtambui na wala chuo anachosoma hakijui.
“Huyo msichana simjui hata hicho chuo chenyewe cha Tandika sijawahi kufika huko, kama huyo binti ana ushahidi auweke hadharani,’’ alisema Mlela.
No comments:
Post a Comment