Language

Tuesday, 5 March 2013

KAMA ULIKUWA HUMJUI VIZURI HAYATI HUGO CHAVES, SOMA HAPA


MUHTASARI WA HABARI KUBWA DUNIANI LEO NI HIZI, PIA UTAZIPATA KWA KIREFU KUPITIA HAPAHAPA BONMUSIC BLOG


Venezuela's Hugo Chavez dies aged 58 Wednesday, March 06, 2013 08:32:19 AM
Venezuela's President Hugo Chavez dies at the age of 58 after a battle with cancer, his vice-president announces.
World stock markets hit new highs Wednesday, March 06, 2013 12:23:44 AM
New York's Dow Jones share index sets a new all-time high, while London's FTSE 100 closes at it highest level in five years.
Kenyatta ahead in Kenya vote count Wednesday, March 06, 2013 01:20:40 AM
Uhuru Kenyatta, who faces trial at the ICC next month, establishes a large lead over rival Raila Odinga in Kenya's presidential polls, on results from about 40% of polling stations.
Snowstorm hits US Midwest states Wednesday, March 06, 2013 06:17:05 AM
A snowstorm dumps up to 12 inches (30cm) on parts of the US Midwest, cancelling 1,100 flights, before heading to mid-Atlantic states.
Troops search amid Sabah stand-off Wednesday, March 06, 2013 07:53:02 AM
Malaysian troops are searching houses and terrain for armed members of a Filipino clan embroiled in a three-week conflict in Sabah on Borneo island.


HABARI TOKA VENEZUELA: RAIS HUGO CHAVES AMEFARIKI DUNIA

Makamu wa Rais nchini Venezuela  ametangaza kifo cha Rais wa nchi hiyo Hayati Hugo Chaves aliyekutwa na mauti akiwa umri wa miaka 58 baada ya kusumbuliwa na maradhi ya kansa kwa muda mrefu.


HABARI TOKA VATICAN CITY: MAKADINALI KUFANYA UCHAGUZI WA PAPA MPYA

Makadinali 142 kati ya 207 wanaotambuliwa na Vatican wameshiriki ufunguzi wa mkutano mkuu mjini Vatican jana, kwa ajili ya maandalizi ya kumpata mrithi wa Papa Benedict XVI.
Mkutano huo unafanyika Makao Makuu ya Kanisa Vatican, kwa ajili ya maandalizi ya kumpata Papa wa 265, makadinali 103 wanaoruhusiwa kupiga kura wakiwa tayari wapo mjini hapa, huku wengine 12 wakiwa njiani kuelekea Kanisa Kuu la Mtakatifu Peter.

Monday, 4 March 2013

MICHEZO: MATOKEO YA MECHI ZA MACHI 4 IKIWEPO YA MAN CITY NA ASTON VILLLA


HABARI TOKA KENYA: HUU NI UCHAGUZI AMBAO HAUJAWAHI TOKEA KENYA


Wakenya wangali wanapiga kura licha ya muda wa mwisho wa shughuli hiyo kutimia.Upigaji kura ulianza asubuhi na mapema baadhi ya wagombea wakiwa katika vituo vya kupiga kura saa nane na saa tisa usiku.
Mwandishi wa BBC Ann Mawathe anasema kuwa katika kituo kimoja mjini Kisumu, bado mamia ya wapiga kura wamepiga foleni wakisubiri

HABARI MUHIMU: UNAIKUMBUKA STORI YA JANA KUHUSU KIFO CHA MJUMBE WA UVCCM BESON MOLLEL? MUENDELEZO WAKE HUU HAPA BAADA YA UCHUNGUZI

UCHUNGUZI wa awali wa kifo cha aliyekuwa Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), kupitia Mkoa wa Arusha, Benson Mollel (26) umeonyesha kuwa chumbani alimofariki kulikutwa mipira miwili ya kiume, mmoja ukiwa umetumika.

HABARI TOKA KENYA: UHURU KENYATTA ANAONGOZA KATIKA UCHAGUZI, 22 TAYARI WAMEUAWA


Matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu nchini Kenya yanaonyesha kuwa Uhuru Kenyatta, mtoto wa Rais wa Kwanza wa Kenya, Mzee Jomo Kenyatta anaongoza, huku akifuatiwa kwa karibu na aliyekuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Raila Odinga.
Kama alivyo Uhuru, Raila pia ni mtoto wa mmoja wa waasisi wa taifa la Kenya, ambaye alikuwa Makamu wa Mzee Kenyatta, Jaramong Oginga Odinga.

MICHEZO: HII NDIO RATIBA YA MECHI ZA LEI MACHI 4 KATIKA VIWANJA MBALI MBALI DUNIANI



Sunday, 3 March 2013

HABARI MUHIMU: MATUKIO KATIKA UCHAGUZI MKUU LEO KENYA

Hii leo wakenya wanapiga kura katika uchaguzi wa kihistoria chini ya katiba mpya. Foleni tayari zimeanza kushuhudiwa katika vituo.
Kinyang'anyiro ni kikali kati ya Muungano wa Cord na Jubilee wa Raila Odinga na
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...