Vichwa Vya Habari
Language
Tuesday, 5 March 2013
MUHTASARI WA HABARI KUBWA DUNIANI LEO NI HIZI, PIA UTAZIPATA KWA KIREFU KUPITIA HAPAHAPA BONMUSIC BLOG
Venezuela's Hugo Chavez dies aged 58 Wednesday, March 06,
2013 08:32:19 AM
Venezuela's President Hugo Chavez dies at the age of 58 after a battle with cancer, his vice-president announces.
Venezuela's President Hugo Chavez dies at the age of 58 after a battle with cancer, his vice-president announces.
World stock markets hit new highs Wednesday, March 06, 2013
12:23:44 AM
New York's Dow Jones share index sets a new all-time high, while London's FTSE 100 closes at it highest level in five years.
New York's Dow Jones share index sets a new all-time high, while London's FTSE 100 closes at it highest level in five years.
Kenyatta ahead in Kenya vote count Wednesday, March 06,
2013 01:20:40 AM
Uhuru Kenyatta, who faces trial at the ICC next month, establishes a large lead over rival Raila Odinga in Kenya's presidential polls, on results from about 40% of polling stations.
Uhuru Kenyatta, who faces trial at the ICC next month, establishes a large lead over rival Raila Odinga in Kenya's presidential polls, on results from about 40% of polling stations.
Snowstorm hits US Midwest states Wednesday, March 06, 2013
06:17:05 AM
A snowstorm dumps up to 12 inches (30cm) on parts of the US Midwest, cancelling 1,100 flights, before heading to mid-Atlantic states.
A snowstorm dumps up to 12 inches (30cm) on parts of the US Midwest, cancelling 1,100 flights, before heading to mid-Atlantic states.
Troops search amid Sabah stand-off Wednesday, March 06,
2013 07:53:02 AM
Malaysian troops are searching houses and terrain for armed members of a Filipino clan embroiled in a three-week conflict in Sabah on Borneo island.
Malaysian troops are searching houses and terrain for armed members of a Filipino clan embroiled in a three-week conflict in Sabah on Borneo island.
Labels:
HABARI KWA UFUPI
HABARI TOKA VENEZUELA: RAIS HUGO CHAVES AMEFARIKI DUNIA
Makamu wa Rais nchini Venezuela ametangaza kifo cha Rais wa nchi hiyo Hayati Hugo Chaves aliyekutwa na mauti akiwa umri wa miaka 58 baada ya kusumbuliwa na maradhi ya kansa kwa muda mrefu.
HABARI TOKA VATICAN CITY: MAKADINALI KUFANYA UCHAGUZI WA PAPA MPYA
Makadinali 142 kati ya 207 wanaotambuliwa na
Vatican wameshiriki ufunguzi wa mkutano mkuu mjini Vatican jana, kwa ajili ya
maandalizi ya kumpata mrithi wa Papa Benedict XVI.
Mkutano huo unafanyika Makao Makuu ya Kanisa Vatican, kwa ajili ya
maandalizi ya kumpata Papa wa 265, makadinali 103 wanaoruhusiwa kupiga kura
wakiwa tayari wapo mjini hapa, huku wengine 12 wakiwa njiani kuelekea Kanisa
Kuu la Mtakatifu Peter.
Monday, 4 March 2013
HABARI TOKA KENYA: HUU NI UCHAGUZI AMBAO HAUJAWAHI TOKEA KENYA
Wakenya wangali wanapiga kura licha ya muda wa mwisho wa shughuli hiyo
kutimia.Upigaji kura ulianza asubuhi na mapema baadhi ya wagombea wakiwa katika
vituo vya kupiga kura saa nane na saa tisa usiku.
Mwandishi wa BBC Ann Mawathe anasema kuwa katika kituo kimoja mjini
Kisumu, bado mamia ya wapiga kura wamepiga foleni wakisubiri
HABARI TOKA KENYA: UHURU KENYATTA ANAONGOZA KATIKA UCHAGUZI, 22 TAYARI WAMEUAWA
Matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu nchini Kenya yanaonyesha kuwa Uhuru
Kenyatta, mtoto wa Rais wa Kwanza wa Kenya, Mzee Jomo Kenyatta anaongoza, huku
akifuatiwa kwa karibu na aliyekuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Raila Odinga.
Kama alivyo Uhuru, Raila pia ni mtoto wa mmoja wa waasisi wa taifa la
Kenya, ambaye alikuwa Makamu wa Mzee Kenyatta, Jaramong Oginga Odinga.
Sunday, 3 March 2013
HABARI MUHIMU: MATUKIO KATIKA UCHAGUZI MKUU LEO KENYA
Hii leo
wakenya wanapiga kura katika uchaguzi wa kihistoria chini ya katiba
mpya. Foleni tayari zimeanza kushuhudiwa katika vituo.
Kinyang'anyiro ni kikali kati ya Muungano wa Cord na Jubilee wa Raila Odinga na
Subscribe to:
Posts (Atom)





