Language

Thursday 9 May 2013

MOYES KOCHA MPYA MAN UTD


Uongozi wa Old Trafford umetangaza rasmi na kuthibitisha kuwa David Moyes atakuwa meneja mpya wa timu hiyo kuchukua nafasi ya Sir Alex Ferguson atakayestaafu mwishoni mwa msimu huu.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka Old Trafford mchana wa leo, David Moyes amepewa mkataba wa miaka sita wa kuifundisha Manchester United kuanzia msimu ujao.

Sunday 5 May 2013

KAMA UNAFUATILIA MPIRA WA SPAIN, HIZI NDIO MECHI ZITAKAZOCHEZWA KATIKA VIWANJA VYAO LEO MAY 5


RATIBA YA MECHI KALI ZA LEO ENGLAND


DOWNLOAD HAPA WIMBO MPYA WA AY NA FID Q-JIPE SHAVU

JINSI BASI LA TAQWA LILIVYOUWA 7 NA KUJERUHI VIBAYA ZAIDI YA 20 IRINGA


Abiria saba waliokuwa wakisafiri na basi la kampuni ya Taqwa lenye namba za usajili T 273 CDR kutoka jijini Dar es Salaam kwenda Malawi wamekufa papo hapo na wengine zaidi ya 20 kujeruhiwa vibaya katika ajali iliyotokea jioni jana katika eneo la Nyololo wilaya ya Mufindi mkoani Iringa. 
Mmoja kati ya mashuhuda aliyejitambulisha kwa jina la Dkt Matatala alisema kuwa ajali hiyo imetokea JANA mida ya saa 11 jioni wakati basi hilo likitokea Dar es Salaam kwenda
nchini Malawi. 
Alisema kuwa chanzo cha ajali hiyo ni lori lenye namba za usajili T 104 DZZ ambalo lilikuwa likitokea Makambako kuelekea Iringa,lori lililokuwa likijaribu kulipita lori lenye namba za usajili T 227 AVC na kushindwa kupita na kuishia kugongana uso kwa uso na basi hilo ambalo pia lilikuwa likija kwa mwendo wa kasi. 
Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo wamesema kuwa ajali hiyo imetokea katikati ya mji wa Nyololo ambapo ni jirani kabisa na eneo lenye matuta ya kuzuia magari kwenda kwa mwendo kasi.
 Alisema kuwa hadi majira ya saa 12.45 jioni maiti tano zilikuwa zimetolewa katika basi hilo la Taqwa na kuwa jitihada za wasamaria wema kutoa maiti na majeruhi katika eneo hilo zimeendelea kufanyika. 

Saturday 4 May 2013

ITAZAME VIDEO MPYA YA JUSTIN BIEBER NA WILL.I.AM-THAT POWER

JUSTIN BIEBER AND USHER: SUED! FOR $10 MILLION!


In his personal life, it's rather clear that Justin Bieber has found somebody to love once again: Selena Gomez.
In his professional life, however, the global superstar and his very good friend are now in legal trouble for allegedly NOT having somebody to love before Devin Copeland came along.
Allow us to explain..

Copeland has filed a $10 million lawsuit against Bieber and Usher, claiming that the duo infringed on his copyright when releasing the 2010 smash single.
Copeland and writing partner Mareio Overton say they brought their track to Usher in 2008 and that he outright stole it when he helped to include it on Bieber's "My World 2.0."
"Without any authority or consent," the suit states, "[Manager Jonetta Patton] and Usher

KAMA HUKUFANIKIWA KUPATA HABARI JANA, HIZI NDIO HABARI KUBWA ZA KIMATAIFA ZA MAY 4


Damascus hit 'by Israeli strikes' Saturday, May 04, 2013 8:36:55 PM
Syrian state TV says Israeli rockets have hit an army research centre near Damascus, as huge explosions shake the outskirts of the capital.
Malaysia in closely contested vote Saturday, May 04, 2013 6:57:26 PM
Malaysians go to the polls in what is widely seen as the most closely contested general election in their country's history.
Brazilian team in 'Taliban' row Saturday, May 04, 2013 3:46:46 PM
Current Brazilian champions Fluminense asks fans and players to stop posting photos online with their faces covered in 'Taliban warrior' style.
Sudan tribal leader killed in Abyei Saturday, May 04, 2013 9:37:38 PM
A senior tribal leader in Abyei, an area claimed by both Sudan and South Sudan, is shot dead in a stand-off involving a rival Arab militia.
Historian sorry for 'gay' remark Saturday, May 04, 2013 3:02:28 PM
Harvard historian Niall Ferguson apologises for saying John Maynard Keynes did not care about society's future because he was gay and childless.
Iraqi PM coalition in election lead Saturday, May 04, 2013 4:36:03 PM
A coalition led by Iraqi PM Nouri Maliki wins the most seats in seven of 12 provinces, in the first elections since US troops withdrew in 2011.
Southern California wildfire eases Saturday, May 04, 2013 7:47:50 PM
A fierce wildfire threatening thousands of homes in southern California is being contained thanks to cooler, wetter winds, firefighters say.
Deadly toxic train fire in Belgium Saturday, May 04, 2013 10:34:11 AM
Two people die and 14 others are injured as a train carrying toxic and flammable chemicals derails, causing a major fire near the Belgian city of Ghent.
Seven Nato troops die in Afghanistan Saturday, May 04, 2013 2:56:55 PM
Seven soldiers Nato serving in Afghanistan have died in two attacks, the alliance says, days after the Taliban launched their annual spring offensive.
Bombs hit Pakistan party's office Saturday, May 04, 2013 12:14:01 PM
Three people are killed and several wounded by twin bombs near the offices of a Pakistani secular political party in the city of Karachi.



TAZAMA MATOKEO YA MECHI ZA MAY4 HAPA


JASIRI HAACHI ASILI YAKE


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...