Language

Saturday 13 April 2013

HUYU NDIYE SYLVESTER STALLONE 'RAMBO' ALIVYO SASA


BACKSTREET BOY'S SHOCKING HAIR TRANSPLANT PHOTOS



Nineties teen heart throbs get hair transplants, too.  Backstreet Boy AJ McLean posted before and after photos of his new hair transplant on Instagram.

“Some girls get there [sic] boobs done some guys get abb implants all to make them happy! This was the one thing I did and I couldn’t be happier thank u dr G!!!!” he posted last month.
Through the years McLean, 35, and his band mates have sported crazy do’s from spiky blond locks to long and curly.
“It looks like they did a wonderful job for him.  It looks nice and natural.  He should be very happy with his result,” said hair transplant surgeon Dr. Brett Bolton.
Hair transplants are much more natural today than they were in the past.

TIGER WOODS HITS UNLUCKIEST SHOT EVER



Tiger Woods' hit perhaps the unluckiest shot in the history of golf yesterday, and to add insult to injury, may have inadvertently committed a rules violation to boot.

On Friday at the Masters, Woods' third shot to the Par-5 15th green was DEAD on the money, only it hit the flag stick and ricocheted back into the water.
Woods proceeded to take a drop, knock it close and save bogey, remaining in contention heading into the weekend, just three shots behind Jason Day.
The legality of said drop is in dispute, however.
Under the rules, Woods could either hit from the same spot, a designated drop zone, or anywhere on the line between the hole and the point where the ball entered the hazard.
During an interview after his round, Tiger stated that he hit the second approach from two yards behind the original spot, which could lead to his disqualification.

PRISONERS, GUARDS CLASH OVER GUANTANAMO BAY RAIDY



Months of increased tension at the Guantanamo Bay prison boiled over into a clash between guards and detainees Saturday as the military closed a communal section of the facility and moved its inmates into single cells.

The violence erupted during an early morning raid that military officials said was necessary because prisoners had covered up security cameras and windows as part of a weekslong protest and hunger strike over their indefinite confinement and conditions at the U.S. base in Cuba.
Prisoners fought guards with makeshift weapons that included broomsticks and mop handles when troops arrived to move them out of a communal wing of the section of the prison known as Camp 6, said Navy Capt. Robert Durand, a military spokesman. Guards responded by firing four "less-than-lethal rounds," he said.

MATOKEO YA MECHI ZA APRILI 13 NA RATIBA YA MECHI ZA APRILI 14 ENGLAND NA ITALY


MAN ARRESTED BY FBI FOR IN-FLIGHT FONDLING OF SLEEPING FEMALE PASSENGER



We're sorry, ladies, if you never doze off on a flight again after this, but ...The FBI arrested a man Friday afternoon for allegedly molesting a sleeping female passenger on an American Airlines flight from Miami to D.C.

Saurabh Agarwal, 39, was named in a felony complaint and charged with engaging in abusive sexual contact with the victim, identified by her initials, “R.C.L.”
Agarwal, who was born in India and lives in Sterling, Va., is jailed in advance of a detention hearing this afternoon in U.S. District Court in Alexandria.
FBI Agent David Wiegand reported that the victim was seated next to Agarwal, and fell asleep only to wake up and find Agarwal “hugging her body."
With "his hand inside her bra, fondling her breasts,” no less.
“Because of fear,” however, the woman “pretended to be asleep" even as the accused kept "squeezing her body tighter” and “squeezed her nipple.”

GLOBAL PUBLISHERS WAFICHUA DANGURO LA WASANII



Kampeni ya Fichua Maovu inayoendeshwa na Global Publishers inazidi kuibua mazito! Safari hii imefanikiwa kunasa danguro la ufuska linalodaiwa kutumia na wasanii chipukizi wa muziki na filamu za Kibongo ambalo ni zaidi ya yale yaliyotendeka enzi za Sodoma kabla ya dunia kuangamia, Risasi Jumamosi lina ripoti ya kushtua.

Kwa muda mrefu gazeti hili lilipokea malalamiko ya majirani katika nyumba moja iliyopo Temeke, jijini Dar es Salaam kuwa kuna danguro linalotumiwa na mabinti chini ya umri wa miaka 18 kwa ajili ya kuchuuza miili yao kwa wanaume huku baadhi wakiwa ni wasanii chipukizi wa filamu na muziki wanaohangaika kutoka kisanaa.

AFRICAN LYON NA HOMA YA KUSHUKA DARAJA



Kocha wa African Lyon, Charles Otieno amesema kwa sasa wanaomba Toto African, Polisi Morogoro wapoteze michezo yao ili wasalimike na janga la kushuka daraja.
 
Kocha huyo alikiri hawana njia mbadala ya kukwepa janga la kushuka daraja kama si kuomba dua mbaya kwa Toto na Polisi tu kwa sasa.
“Siwezi kusema tumeshuka, bado tunamichezo mitatu mkononi endapo tutashinda uwezekano ni mkubwa wa kuendelea kubaki, hakuna njia ya kutubakiza zaidi ya Polisi na Toto kupoteza mechi zao ili sisi tuweze kupata nafasi kinyume na hapo ni lazima tutashuka tu”alisisitiza kocha huyo.
Lyon imebakiza mechi dhidi ya JKT Ruvu, Mtibwa Sugar pamoja na Mgambo JKT. (Jessca Nangawe)Text inakuja hapa.

BARCELONA KUKUTANA NA REAL MADRID KATIKA FAINALI YA LIGI YA MABINGWA ULAYA PALE WEMBLEY?



Barcelona na Real Madrid zinaweza kukutana kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwenye Uwanja wa Wembley, London Mei mwaka huu baada ya ratiba ya mechi za hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo iliyotolewa jana mchana kuzitenganisha.
Barcelona wamepangwa kucheza na Bayern Munich, wakati Real Madrid watacheza na Borussia Dortmund.
Mechi za kwanza hizo zitachezwa kati ya Aprili 23, na 24 kisha marudiano kati ya Aprili 30 na Mei. 1. Katika Ligi ya Europa, Chelsea watasafiri kwenda Uswisi kucheza na Basel Aprili 25, huku Fenerbahce wakiikabili Benfica. Mechi za marudiano zitachezwa Mei 2.
Chelsea ni timu pekee ya England iliyobaki kwenye mashindano ya Klabu Ulaya baada ya kusonga mbele kufuatia kuitoa Rubin Kazan ya Russia.
Katika michuano ya Ligi ya Mabingwa, ratiba iliyotolewa jana mjini, Nyon, Uswisi, iliepusha timu Ujerumani kukutaka kwenye hatua ya nusu fainali, vilevile timu za Hispania kwenye hatua hiyo.

UMEME WAKATIKA NUSU SAA BAADA YA MITAMBO KUZINDULIWA ZANZIBAR



Huduma za umeme katika Mji wa Zanzibar, jana zilikatika kwa zaidi ya nusu saa baada ya kuzinduliwa kwa mradi mkubwa wa umeme  kutoka Tanzania Bara.

Uzinduzi wa mradi huo, ulifanywa na Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, katika  Uwanja wa Amaan mjini Zanzibar.
Sherehe za uzinduzi wa mradi huo, zilihudhuriwa pia na wananchi wa maeneo mbalimbali ya Zanzibar.
Hata hivyo muda mfupi baada ya shughuli hizo, huduma za umeme katika Mji wa Zanzibar, zilikatika  kuanzia saa 9 mchana na kudumu kwa zaidi ya nusu saa.
Meneja wa Shirika la Umeme la Zanzibar (Zeco), Mbarouk Hassan, alithibitisha kuwa huduma zilikatika na kwamba tatizo lilikuwa  Tanzania Bara.

UBADHIRIFU WA PESA ZA UMMA NCHINI TANZANIA



Maoni mbalimbali yanaendelea kutolewa nchini Tanzania juu ya ripoti ya mdhibiti mkuu na mkaguzi wa hesabu za serikali nchini humo, iliyomulika kiwango kikubwa cha ubadhirifu wa fedha za umma katika serikali hiyo.
 Ripoti hiyo imeaziangazia sekta au idara ya ujenzi, nishati na madini kuwa miongoni mwa idara zinazokuwa na ubadirifu wa fedha za umma.
Hata hivyo swali linaloulizwa ni je tatizo liko wapi kiasi ya kuwapo ubadhirifu mkubwa wa mara kwa mara katika fedha za umma?  Amina Abubakar amezungumza na Profesa Ibrahim Lipumba ni mtaalamu bingwa wa uchumi nchini Tanzania.Kusiikiliza mazungumzo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

WAKIMBIZI MALI WAPO HATARINI, VIFO VYA WATOTO VYAZIDI KUONGEZEKA



Wakimbizi 74 elfu wa Mali wamekwama katika jangwa la Mauritania wakikumbwa na ukosefu wa maji na idadi ya vifo vya watoto ikizidi kuongezeka,linasema shirika la madaktari wasiokuwa na Mipaka-Medecins Sans Frontiere. 

Mzozo wa Mali umepelekea zaidi ya watu laki mbili na 70 elfu kuyapa kisogo maskani yao na kuranda randa ndani nchini huku wengine zaidi ya laki moja na 70 elfu wakikimbilia katika nchi jirani na hasa Burkinafasso,Mauritania na Niger.
Katika jangwa la Mauritania ambako hali ya hewa inapindukia nyuzi joto 50 kivulini, kambi ya wakimbizi ya Mbera inawapokea watu 74 elfu "walionasa jangwani" - kwa mujibu wa ripoti ya shirika la Madaktari Wasiokua na Mipaka-Medecins Sans Frontièren-MSF.Watu hao wamekimbia mapigano,chuki za kikabila,ukosefu wa chakula na kuvurugika mfumo wa huduma za jamii.

MBUNGE ALLY KEISSY ATAKA BANGI IHALALISHWE TANZANIA



Mbunge wa Nkasi Kaskazini, Ally Keissy (CCM), jana aliwavunja mbavu wabunge baada ya kuitaka Serikali kutoa tamko la kuruhusu bangi kuwa zao halali la biashara kwa manufaa ya nchi na wananchi wake.

Keissy ambaye amezoeleka bungeni kama mzee wa kulipua mabomu, alitoa kauli hiyo kupitia swali lake la nyongeza ambapo alisema zao la tumbaku nchini, halina maana kwa sasa zaidi ya bangi.
“Mimi naona hakuna sababu ya kuendelea kusimamia mazao ambayo hata dunia nzima wanayakataa kwa sababu yana ugonjwa wa kansa, leo Serikali itoe tamko ni lini itaruhusu zao la bangi kulimwa kama zao la biashara ili wananchi walime kwa uhuru,” aliuliza Keissy.
Alisema kuna faida kubwa katika kulima bangi kuliko kuendelea kulima zao ambalo watu wengine duniani wameliona kuwa halifai.
Katika swali lake la msingi, Mbunge wa Mpanda Vijijini, Selemani Kakoso (CCM), alitaka kujua ni lini zao la tumbaku litaingizwa kwenye ruzuku ya Serikali ili kupunguza gharama za pembejeo kwa wakulima wa zao hilo.

PANYA WANAOTAMBUA MABOMU WAFANYIWA MAJARIBIO MOROGORO



Shirika moja lisilo la kiserikali la Ubelgiji APOPO limeanza kuwafundisha panya namna ya kutambua mabomu yaliyofukiwa ardhini. Panya hao ambao ni wakubwa kuliko panya wa kawaida wanafanyiwa majaribio Morogoro Tanzania .Inaaminika wanauwezo mkubwa wa kunusa kuliko mbwa. Hii inatokana na kuwa pua zao zipo karibu na ardhi,hali ambayo inawasaidia katika kazi yao ya utambuzi wa mabomu.

POLISI WAUA MAHABUSU MBEYA



Polisi mkoani Mbeya wanatuhumiwa kumshushia kipigo Barnabas Kahemele akiwa mahabusu na kusababisha kifo chake.
 
Kufuatia tukio hilo, ndugu wa marehemu Kahemele wamegoma kuuchukua mwili wa marehemu huyo uliohifadhiwa katika chumba cha maiti cha Hospitali ya Rufaa Mbeya wakidai kwamba mazingira yanaonyesha kuwa kifo chake kimetokana na kipigo cha polisi baada ya kumkamata.
Inadaiwa kuwa marehemu na wenzake wawili walikamatwa usiku ya Jumatano wiki hii, baada ya askari hao kufika nyumbani kwa marehemu, eneo la Uyole ya Kati. Mke wa marehemu Sara Muhwanji, alidai kuwa wakiwa wamelala walisikia mtu akigonga hodi na ndipo alipoamka na kutoka sebuleni.
“Nilitoka sebuleni na kuuliza nani anayegonga, ndipo nikasikia sauti ya mtu anasema kuwa mimi Mhagama, huyo ni jirani yetu pale nyumbani. Lakini sikufungua mlango na nikaenda kumwamsha

SASA MIPAKA YA SUDAN YA KUSINI KUFUNGULIWA



Rais Omar al-Bashir wa Sudan, katika ziara yake ya kwanza mjini Juba tangu nchi ya Sudan ya Kusini kuwa huru mwaka 2011, ametangaza mipaka kati ya nchi hizo mbili kufunguliwa.
Akizungumza akiwa na rais mwenzake, Salva Kiir, Bw Bashir alitaka pia mataifa hayo mawili kudumisha amani, na kuimarisha uhusiano wa kawaida tena.
Hali ya uhasama iliongezeka kati ya mataifa hayo mawili mwaka jana, huku kukiwa na wasiwasi wa kuzuka vita.
Uhasama huo umepungua, lakini tofauti kuhusiana na mafuta na ardhi bado upo kati ya nchi hizo mbili.
"Nimewaamuru maafisa wa serikali ya Sudan chama cha maslahi ya raia kushirikiana na ndugu zao katika Jamhuri ya Sudan ya Kusini", Bw Bashir alieleza katika hotuba yake katika mji mkuu wa Sudan ya Kusini, Juba.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...