Language

Saturday 13 April 2013

UBADHIRIFU WA PESA ZA UMMA NCHINI TANZANIA



Maoni mbalimbali yanaendelea kutolewa nchini Tanzania juu ya ripoti ya mdhibiti mkuu na mkaguzi wa hesabu za serikali nchini humo, iliyomulika kiwango kikubwa cha ubadhirifu wa fedha za umma katika serikali hiyo.
 Ripoti hiyo imeaziangazia sekta au idara ya ujenzi, nishati na madini kuwa miongoni mwa idara zinazokuwa na ubadirifu wa fedha za umma.
Hata hivyo swali linaloulizwa ni je tatizo liko wapi kiasi ya kuwapo ubadhirifu mkubwa wa mara kwa mara katika fedha za umma?  Amina Abubakar amezungumza na Profesa Ibrahim Lipumba ni mtaalamu bingwa wa uchumi nchini Tanzania.Kusiikiliza mazungumzo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...