Language

Monday 11 February 2013

HABARI MUHIMU: PAPA BENEDICT XVI AJIUZULU

Huko Ujerumani, msemaji wa serikali amesema kuwa anaheshimu kazi kubwa iliyofanywa na Papa huyu aliyezaliwa katika Jimbo la Bavaria la nchini humo.
 
Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron, amemsifu Papa kwa jitihada zake za kuimarisha mahusiano baina ya Vatican na Uingereza.
Askofu mkuu wa Canterbury amesema amazipokea taarifa za kujiuzulu kwa Papa kwa huzuni mkubwa ingawa anaelewa undani wa hatua yake.
Kiongozi wa Ujeremani, Bi. Angela Merkel amesifu mchango wa Papa wa kupendekeza mjadala baina ya makanisa, waislamu na wayahudi.
Alikumbusha hotuba ya Papa alipozuru bunge la Ujerumani mnamo mwaka 2011.

BURUDANI: HII NDIO SIRI YA NE-YO KUVAA KOFIA MUDA WOTE, 'KIPARA' MUANGALIE KATIKA PICHA HII


MICHEZO: MATOKEO YA MECHI ZOTE KUBWA ZA JANA YAKO HAPA PAMOJA NA RATIBA YA MECHI ZA LEO



MITINDO: NGUO BOMBA KWA BRAZAZ



Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...