Language

Thursday 14 March 2013

HABARI MUHIMU: XI JINPING RAIS MPYA CHINA


Bunge la uteuzi nchini China limemteua kiongozi wa Chama cha Kikomunisti, Xi Jinping, kuwa rais hatua inayomuweka kwenye kilele cha madaraka ya taifa hilo linalokuwa kwa kasi kubwa ya kiuchumi duniani.

Xi Jinping aliinama kwa heshima juu ya jukwaa kuu katika Ukumbi Mkuu wa Watu wa China, kama linavyoitwa jengo la bunge la nchi hiyo, huku wajumbe wakimpigia makofi ya kumpongeza katika tukio hilo lililorushwa moja kwa moja na televisheni ya taifa.

HABARI MUHIMU: JE, NI KWELI PAPA MPYA FRANCIS I SI WAKUAMINIKA? SOMA MAKALA HII


Papa Francis wa kwanza,kutokana na umri wake mkubwa na mwelekeo wake wa kihafidhina,haonyeshi kama atafanikiwa kulifanyia mageuzi kanisa katoliki,yanayoambatana na wakati tulio nao.

Wahenga wanasema mkamia maji hayanywi" hapa ikimaanisha anaeingia katika mkutano wa siri akipewa nafasi nzuri ya kuchaguliwa kuwa Papa,anatoka mkutanoni kama kadinali tu.Kwasababu hakuna yeyote kati ya waliopigiwa upatu wangechaguliwa

HABARI MUHIMU: 28% YA WANAFUNZI WA KIKE WAMEATHIRIKA NA HIV/AIDS SA


Waziri wa afya wa Afrika Kusini Amesema kuwa zaidi ya asili mia 28% ya wasichana wa shule wameambukizwa virusi vya Ukimwi, ikilinganishwa na asili mia 4% tu ya vijana wa shule.
Hii ameelezea ni kutokana pakubwa na kuongezeka kwa mababa sukari au kwa jina lingine, *fataki*, ( Wazee wanao tembea na wasichana wadogo kwa umri).

HABARI MUHIMU: HII NDIO SAMSUNG GALAXY MPYA UTAKAYOITUMIA KWA MBONI YA JICHO TU!!!

Samsung has launched a smartphone which allows users to control its 5in (12.5cm) screen using only their eyes.

The Galaxy S4 follows on from last year's S3, a product that sold over 40 million units worldwide.
At a lavish, Broadway-themed event in New York, the company also demoed the phone's ability to take two different pictures at once.
Analysts widely regard Samsung to be the biggest challenger to Apple's dominance of mobile products.
The Galaxy S4 will be rolled out globally at the end of April.

MICHEZO: TWEET HII NI UJUMBE KWA CLUB YA ARSENAL NA FANS WAKE


HABARI MUHIMU: GAVANA ALIYEIBA FEDHA AACHIWA HURU NIGERIA

Vyombo vya sheria nchini Nigeria vimemsamehe gavana wa zamani Diepreye Alamieyeseigha aliyeshutumiwa kuiba mamilioni ya dola kutoka kwa serikali. Msamaha huo ulitolewa na baraza la serikali, linalojumuisha rais Goodluck Jonathan ambaye aliwahi kuhudumu chini ya bwana Diepreye.
Mwandishi wa BBC nchini humo amesema kuwa hatua hiyo, ambayo imepingwa vikali na wanaharakati dhidi ya ufisadi, inamaana kuwa bwana Diepreye ataruhusiwa kuwania wadhifa wa kisiasa.

HABARIKWA UFUPI: HIZI NDIO STORY 10 KUBWA ZA LEO DUNIANI KWA UFUPI

Francis's challenging papacy begins Wednesday, March 13, 2013 10:31:00 PM
Pope Francis begins his first day at the helm of the Catholic Church, attempting to set out his vision for his papacy amid a testing schedule.
Xi Jinping named China president Wednesday, March 13, 2013 9:42:05 PM
The National People's Congress in Beijing confirms Xi Jinping as China's president, completing the nation's once-in-a-decade transition of power.
Khmer Rouge chief Ieng Sary dies Wednesday, March 13, 2013 11:04:47 PM
Former senior Khmer Rouge leader Ieng Sary dies while on trial for genocide, a UN-backed court in Cambodia announces.

HABARIMUHIMU: HUYU NDIYE PAPA MPYA,PAPA FRANCIS I

-->
Kadinali Jorge Mario Bergoglio wa Argentina amechaguliwa kuwa Papa mpya wa Kanisa Katoliki.
Kadinali Bergoglio anakuwa mtu wa kwanza kutoka Amerika kusini kuchaguliwa kuwa Papa.
Mara tu baada ya kuchaguliwa alichagua jina la Papa Francis I.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...