Language

Tuesday 23 April 2013

UMEISIKIA STORY KUHUSU RAMA DEE KUTUA NCHINI NA KUWABWAGA MACHIZI WAKE? YEYE MWENYEWE KAFUNGUKA KUHUSU HILO


UNATAKA KUTUMA MAOMBI YA KUJIUNGA NA VYUO VIKUU TCU? SOMA HAPA UJUE JINSI YA KUJIUNGA


Unaweza kutumia Internet au Simu yako ya mkononi. Soma kwa makini maelekezo hayo muhimu kisha kuna link mwisho itakupeleka kwenye fomu za kujisajili baada ya kuwa umeelewa cha kufanya. 

Applications shall be made using one of the two ways, namely, Internet and SMS applications. Applicants should not submit their applications to TCU or NACTE by e-mail, fax, or deliver them in person. 
Application through Internet  10.1.1 Holders of Tanzanian certificates applying through the Internet should go through the
following steps: 

N.E.C.T.A WAMEPANDISHA KIWANGO CHA UFAULU KIDATO CHA NNE, ANGALIA MARKS MPYA ZITAKAZOTUMIKA SASA


HIVI NDIVYO BARCELONA ALIVYOPIGWA NA 4 NA BAYERN MUNICH, ANGALIA SUMMARY YA MECHI YOTE HAPA



RATIBA YA MECHI KUBWA ZA APRILI 23 KATIKA MASHINDANO MBALI MBALI DUNIANI


HABARI KUBWA ZA APRILI 22 NA 23 KWA UFUPI


Boston attack motive still unclear Monday, April 22, 2013 11:34:02 PM
The motive for the Boston Marathon bombing remains unclear, after prosecutors charged the surviving suspect in hospital.
Explosion at French embassy in Libya Tuesday, April 23, 2013 12:21:52 AM
A car bomb explodes outside the French embassy in the Libyan capital, Tripoli, wounding two guards and causing extensive damage, officials say.
Japan warns China on islands landing Tuesday, April 23, 2013 12:19:39 AM
Japan would respond with force if any attempt is made to land on disputed islands, PM Shinzo Abe warns, as eight Chinese ships sail in the area.

MAREKANI YASHINIKIZA MAZUNGUMZO YA AMANI MASHARIKI YA KATI

Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Marekani John Kerry yuko mjini Brussels ambako anatarajiwa kukutana na mkuu wa Halmashauri kuu ya Umoja wa Ulaya Jose Manuel Barosso, na Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Urusi Sergei Lavrov. 

Kerry mwishoni mwa wiki alifanya ziara katika Ukingo wa Magharibi katika juhudi za kushinikiza kuanzishwa tena mazungumzo ya amani kati ya Israel na Palestina. Bruce Amani ana mengi zaidi
Akiwa mjini Istanbul hapo jana Jumapili, waziri huyo wa Mambo ya Kigeni wa Marekani John Kerry alimtaka Waziri Mkuu wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan kuchelewesha ziara yake katika Ukanda wa Gaza mnamo Mei 16 baada ya kuitembelea Ikulu ya Marekani, kwa sababu itahujumu juhudi za kuimarisha mahusiano baina ya Uturuki na Israel.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...