Language

Sunday 21 April 2013

EXCLUSIVE!!! JUSTIN BIEBER NA SELENA GOMEZ WARUDIANA


Iliwahi kutokea mara ya kwanza Justin Bieber alipokuwa backstage katika moja ya matamasha yake, pia Justin na Selena Gomez wamekutwa wakibusiana (kiss) nyuma ya jukwaa katika shoo aliyofanya Justin mwishoni mwa wiki hii huko Norway.

Shuhuda wa tukio hilo amesema kuwa: “walikuwa wameshikana mikono muda wote, wakikumbatiana mara kwa mara na walikiss midomoni."
Kisha akaendelea"Wanaonekana wako penzini tena katika dimbwi zito la mapenzi, kana kwamba hawajawahi kugombana awali. Wanaonekana kabisa wamerudiana pamoja."
Justin na Selena walivunja uhusiano wao mwishoni mwa  mwaka 2012, lakini wote wawili walithibitisha kuwa bado wanawasiliana vizuri.
Kuna baadhi ya watu wao wa karibu waliwahi kusema kuwa  Gomez alikuwa akimtumia Bieber za kumuumiza pamoja na kumpigia simu na kumkumbushia mambo mengi ya kimapenzi waliyoenjoy pamoja kabla ya kutengana

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...