Language

Tuesday, 19 March 2013

MITINDO: FASHION FOR KIDS


BURUDANI: SIKILIZA NA UDOWNLOAD AUDIO YA B.o.B. FT. T.I. & JUICY J-WE STILL IN THIS BITCH

MICHEZO: TIMU TATU ZIMESHUSHWA DARAJA

Release No. 050
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Machi 19, 2013
 
TIMU TATU ZASHUKA DARAJA FDL
Timu tatu zimeshuka daraja kutoka Ligi Daraja la Kwanza (FDL) kurudi Ligi ya Mkoa msimu ujao wa 2013/2014 baada ya kushika nafasi za mwisho katika ligi hiyo msimu huu 2012/2013 iliyomalizika wikiendi iliyopita.

HABARI MUHIMU: HII NDIO HATMA YA SOKO LA SILAHA DUNIANI


Wawakilishi kutoka mataifa 150 wanakutana leo mjini New York Marekani, katika shinikizo la mwisho la kuunda mkataba wa kimataifa, unoalenga kukomesha uuzaji wa silaha kiholela, lakini Marekani inashinikizwa kuukataa.


HABARI KWA UFUPI: HIZI NDIO HABARI KUBWA DUNIANI LEO


Pope appears for inauguration Mass Tuesday, March 19, 2013 11:02:36 AM
Pope Francis appears in St Peter's Square in Rome for the inauguration Mass that marks the official start of his papacy.
Baghdad hit by deadly car bombs Tuesday, March 19, 2013 11:22:32 AM
At least 21 people die and many more are injured, after a series of car bombs in Shia areas of Baghdad on the 10th anniversary of the US-led campaign in Iraq.
Power failure hits Fukushima plant Tuesday, March 19, 2013 7:45:45 AM
A power failure at Japan's tsunami-hit Fukushima nuclear plant affects cooling systems for spent fuel, but officials say there is no immediate danger.

MICHEZO: RATIBA YA MECHI KUBWA ZA LEO MACHI 19 ENGLAND,ITALY


HABARI MUHIMU: NTAGANDA ANASHIKILIWA NA WAMAREKANI


Hatimae Marekani imethibitisha kuwa Muasi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Jenerali Bosco Ntaganda, amejisalimisha katika ubalozi wake mjini Kigali, Rwanda.
Taarifa hiyo ya Marekani inasema kuwa Ntaganda ameomba ahamishwe hadi katika Mahakama ya Uhalifu wa Kimataifa ICC huko the Hague.

HABARI MUHIMU: FBI WAONDOKA ZANZIBAR BILA KUAGA


Askari wa Upelelezi wa Marekani (FBI) waliokuja Zanzibar kusaidia uchunguzi wa kumpata aliyemuua kwa kumpiga risasi, Padri Evarist Mushi wa Kanisa Katoliki wameondoka nchini.


Askari hao waliondoka Zanzibar bila kukamatwa mtu yeyote anayetuhumiwa, licha ya polisi hivi karibuni kutoa mchoro wa mtu anayedaiwa kumuua padri huyo.
Kamishna wa Polisi Zanzibar, Mussa Ali Mussa alisema jana kuwa askari hao waliokuja kushirikiana na wenzao wa Tanzania, wamerudi Nairobi na wanaendelea na uchunguzi wao.

HABARI MPYA: UHURU KENYATTA AIFUKUZA KESI YAKE MAHAKAMA YA ICC


Wanasheria wa rais mteule wa Kenya, Uhuru Kenyatta, wameiomba Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai, ICC, kumfutia mashitaka yanayomkabili mbele ya mahakama hiyo.


Bwana Kenyatta amekanusha kuchochea ghasia baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2007.

LYRICS: WANTS FOR DINNER-CIARA


"Wants For Dinner"
I'm right here when he calls me, yeah
I'm right here when he needs me, yeah
I'm the one he screams for day and night
And always make things alright, alright
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...