Language

Sunday 13 January 2013

HABARI: MAJESHI YA MALI YAWASHINDA WAASI

Majeshi ya Mali yamewafurusha waasi wa Kiislamu kutoka mji muhimu katika eneo la kati nchini humo,baada ya Ufaransa kuingilia kati jana Ijumaa(11.01.2013)kwa mashambulio ya anga na kuzuwia waasi hao kusonga mbele.
 
Bewaffnete Tuareg-Kämpfer auf ihrem Pick-up; Nordmali am 15.02.2012. Nach dem Sturz von Gaddafi in Libyen ist der Bürgerkrieg in Mali zwischen Tuareg-Rebellen und den Regierungstruppen eskaliert. Fast 130.000 Menschen befinden sich laut UN auf der Flucht. Rund die Hälfte flüchtete ins Ausland, die andere Hälfte sind Binnenflüchtlinge. Durch die bestehende Nahrungsmittelknappheit in der Sahelzone droht eine humanitäre Katastrophe.
Waasi wa nchi hiyo wanadhibiti eneo la kaskazini hadi sasa.
Serikali za mataifa ya magharibi , hususan mkoloni wa zamani wa nchi hiyo ufaransa , imeeleza hali ya tahadhari baada ya muungano wa waasi hao wenye mafungamano na kundi la al-Qaeda kuukamata mji wa Konna siku ya Alhamis (10.01.2013), ikiwa ni njia ya kuingilia katika mji mkuu Bamako, kilometa 600 kusini mwa nchi hiyo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...