Language

Wednesday 3 April 2013

KOREA KUSINI BADO INAENDELEZA MKWARA WA KIVITA



Kufuatia hali hiyo waziri wa ulinzi wa Korea Kusini, ametishia kuwa serikali yake itafanya kila liwezekanalo hata kama ni kutumia jeshi ili kulinda usalama wa raia wa Korea Kusini waliokuwa wakifanya kazi katika eneo hilo ambalo linatumiwa na Korea mbili.

Meneja wa moja ya viwanda katika eneo hilo, Lee Jae-Young, akiongea na Shirika la habari la AFP amesema, hatua hiyo imeathiri mzunguko wa biashara na uzalishaji baada ya malighafi nyingi za viwanda hivyo zinazosafirishwa kwa meli kwenda eneo la Kaesong kwa ajili ya uzalishaji, kukwama.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...