

Waziri wa masuala ya nchi za kigeni wa Urusi Sergei Lavrov amekashifu
kile alichokitaja kama kuvuka mipaka kwa Korea Kaskazini.
Agizo la rais Kim Jong-un limetokana mazungumzo kujibu hatua ya ndege
za kivita za marekani kuruka katika anga ya rasi ya Korea.
Alinukuliwa akisema kuwa muda umewadia wa kumaliza mgogoro na Marekani.
Korea Kaskazini imeghadhabishwa na hatua ya Umoja wa Matifa kuiwekea
vikwazo vipya.
No comments:
Post a Comment