Vichwa Vya Habari
Language
Thursday, 25 April 2013
UNAMFAHAMU ALIYEBUNI JINA LA TANZANIA? MSOME HAPA
HISTORIA ya Tanzania haiwezi kukamilika bila kutaja jina la mtu maarufu
aliyebuni jina la Tanzania ambaye kwa bahati mbaya au kwa makusudi hakumbukwi
tena.
Tunaelezwa kuhusu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, lakini nani kati
yetu amekuwa akijiuliza jina la Tanzania lilivyopatikana na nani hasa
alilibuni?
Wengi tunaambiwa kuwa jina la Tanzania lilipendekezwa na Watanganyika,
Wazanzibari na raia wengine wa nje lakini hawatajwi waziwazi na picha zao
tukaziona.
Inaaminika kuwa mtu aliyebuni jina la Tanzania ni MOHAMMED IQBAL DAR,
raia wa India ambaye alikuwa miongoni mwa watu walioshindana katika shindano la
kubuni jina la nchi mpya baada ya Tanganyika na Zanzibar kuungana.
Mohammed alizaliwa mkoani Tanga miaka ya 1944; baba mzazi wa Mohammed
alikuwa daktari huko mkoani Morogoro akiitwa Dk. T . A DAR aliyefika Tanganyika
kuanzia mwaka 1930.
Mohammed Iqbal Dar alipata elimu yake ya msingi mkoani Morogoro katika
Shule ya Msingi H. H D Agakhan ambayo kwa sasa ni mali ya serikali. Alijiunga
na Shule ya Sekondari Mzumbe alikosoma kidato cha kwanza hadi cha sita.
Labels:
HABARI MUHIMU
BRAZIL KUONGEZA NGUVU KATIKA KIKOSI DRC
Umoja wa Mataifa umemteua Generali mmoja raia wa Brazil ambaye anasifika
kwa kudhibiti mtaa mmoja wa mabanda nchini Haiti kutokanamana na vurugu kuweza
kuwaongoza walinda amani wa Umoja wa Mataifa katika Jamuhuri ya Kidemokrasia ya
Congo.
Generali Carlos Alberto dos Santos Cruz ataongoza kikosi cha wanajeshi
20,000, ikiwemo kikosi kipya cha wanajeshi kitakachopambana na waasi mashariki
mwa nchi.
Hii ndio mara ya kwanza kwa Umoja wa mataifa kukabidhi kikosi cha
wanajeshi nguvu kuweza kupambana na waasi.
Generali Santos Cruz, aliambia BBC kuwa wanajeshi wake, watafunzwa
namna watakavyo pambana na waasi bila kuwajeruhi raia na kuharibu mali nchini
Congo.
"eneo tete zaidi siku hizi ni Mashariki mwa nchi,'' Cruz alimbia
BBC
"niko tayari kukabiliana, na hali ngumu zaidi. Lengo kuu ni
kuwaondolea hali ngumu wanayokabiliana nayo watu wa Congo.''
Labels:
HABARI MUHIMU
KURA ZA MAONI KUPIGWA JUU YA AMANI NCHINI MALI
Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa linatarajiwa kupigia kura azimio
linalopendekeza kuundwa kwa kikosi cha kulinda amani nchini Mali.
Kikosi hicho chenye wanajeshi 12,600 kinajumuisha takriban wanajeshi
6,000 kutoka nchi za Magharibi mwa Afrika ambazo tayari zina wanajeshi wao
nchini humo.
Azimio hilo limependekezwa na Ufaransa ambayo iliingilia kati mzozo wa
Mali mnamo mwezi Januari ili kupambana na wapiganaji wa kiisilamu Kaskazini mwa
nchi hiyo.
Kikosi hicho kinatarajiwa kwenda Mali mwanzoni mwa mwezi Julai kabla ya
uchaguzi mkuu.
Labels:
HABARI MUHIMU
Wednesday, 24 April 2013
30 WAFARIKI KATIKA JENGO LA GHOROFA 8 KUPOROMOKA BANGLADESH
Vikosi vya uokoaji vinasema, watu wapatao 30 wamefariki dunia na mamia
wengine wanahofiwa kukwama baada ya jingo la ghorofa nane kuporomoka katika mji
mkuu wa Bangladesh, Dhaka.
Juhudi za ziada zinaendelea kuwaokoa watu walionaswa kwenye kifusi.
Watu wapatao 200 wamejeruhiwa kufuatia ajali hiyo. Jeshi linasaidia shughuli za
uokoaji katika eneo la tukio nje kidogo ya jiji la Dhaka.
Matukio ya majengo kuporomoka nchini Bangladesh ni ya kawaida kutokana
na majengo mengi marefu kujengwa kinyume na sheria za ujenzi.
Jengo lililoporomoka lilikuwa na kiwanda cha nguo, benki na maduka
kadhaa. Liliporomoka asubuhi wakati watu wakielekea makazini.
Watu wengi wamekusanyika karibu na eneo la tukio wakiwatafuta ndugu na
marafiki. Mwandishi wa BBC mjini Dhaka anasema haijafahamika kilichosababisha
jengo hilo kuporomoka, lakini vyombo vya habari nchini humo vimearifu kwamba,
nyufa zilionekana kwenye jengo hilo siku ya Jumanne.
Labels:
HABARI MUHIMU
KAMA HUKUZIPITA HABARI KUBWA ZA APRILI 24, ZOTE ZIKO HAPA
CIA 'tracked Boston bomb suspect' Wednesday, April 24, 2013
8:56:32 PM
The CIA added one of the Boston bomb suspects to a terrorism database 18 months ago, officials say, days after the FBI said it had also investigated him.
The CIA added one of the Boston bomb suspects to a terrorism database 18 months ago, officials say, days after the FBI said it had also investigated him.
Frantic search for Dhaka survivors Wednesday, April 24,
2013 9:53:24 PM
Bangladeshi rescuers are desperately searching for survivors after a building housing garment factories collapsed in Dhaka, killing at least 147.
Bangladeshi rescuers are desperately searching for survivors after a building housing garment factories collapsed in Dhaka, killing at least 147.
Two investigated over Kate images Wednesday, April 24, 2013
5:56:55 PM
Two people are under formal investigation in France over the publication of pictures of a sunbathing Duchess of Cambridge taken last autumn.
Two people are under formal investigation in France over the publication of pictures of a sunbathing Duchess of Cambridge taken last autumn.
Teachers on rampage in Mexican state Wednesday, April 24,
2013 6:37:07 PM
Teachers incensed by sweeping education reforms are joined by vigilantes as they go on the rampage in Mexico, setting fires and vandalising offices.
Teachers incensed by sweeping education reforms are joined by vigilantes as they go on the rampage in Mexico, setting fires and vandalising offices.
Thumb-type keyboard takes on Qwerty Wednesday, April 24,
2013 7:03:06 PM
Researchers create a keyboard which they claim allows people to "thumb-type" faster on touchscreen devices.
Researchers create a keyboard which they claim allows people to "thumb-type" faster on touchscreen devices.
S Korea proposes factory zone talks Wednesday, April 24,
2013 8:43:26 PM
South Korea proposes formal talks with the North over the jointly-run Kaesong industrial park, warning of "grave measures" if the offer is rejected.
South Korea proposes formal talks with the North over the jointly-run Kaesong industrial park, warning of "grave measures" if the offer is rejected.
Ancient Aleppo minaret destroyed Wednesday, April 24, 2013
8:34:22 AM
The minaret of Syria's famous 12th-Century Umayyad Mosque in the northern city of Aleppo is destroyed as rebels clash with government troops.
The minaret of Syria's famous 12th-Century Umayyad Mosque in the northern city of Aleppo is destroyed as rebels clash with government troops.
Capriles issues vote 'ultimatum' Wednesday, April 24, 2013
9:13:26 PM
Venezuelan opposition candidate Henrique Capriles threatens unspecified action unless details are released of an audit of 14 April presidential polls.
Venezuelan opposition candidate Henrique Capriles threatens unspecified action unless details are released of an audit of 14 April presidential polls.
Facebook 'must remove memorial page' Wednesday, April 24,
2013 3:03:34 PM
A court in Brazil has backed a mother's plea to have the Facebook profile of her deceased daughter taken offline.
A court in Brazil has backed a mother's plea to have the Facebook profile of her deceased daughter taken offline.
Argentine activists lobby Pope Wednesday, April 24, 2013
4:09:24 PM
Argentine activists campaigning for information on children stolen during the Dirty War ask the Pope to open Vatican archives from the period.
Argentine activists campaigning for information on children stolen during the Dirty War ask the Pope to open Vatican archives from the period.
Labels:
HABARI KWA UFUPI
UBAROZI WA UFARANSA LIBYA WALIPULIWA
Bomu limelipuka nje ya ubalozi wa Ufaransa katika mji mkuu wa Libya,
Tripoli na kuwajeruhi walinzi wawili huku ikisababisha uharibifu mkubwa.
Mlipuko huo ulisababisha uharibifu katika sehemu moja ya ofisi hizo na
pia kuharibu nyumba jirani.
Mwandishi wa BBC mjini Tripoli, Rana Jawad anasema kuwa inaaminika kuwa
mlipuko huo ulisababishwa na gari lililokuwa na mabomu.
Rais wa Ufaransa, Francois Hollande, aliitaka serikali ya Libya
kuchukua hatua za haraka kukabiliana na waliosababisha shambulio hilo.
Aliongeza kwamba shambulizi hilo lililenga nchi za kigeni zinazopambana
dhidi ya ugaidi.
Balozi za kigeni nchini Libya zimewahi kushambuliwa katika siku za
nyuma, lakini hili ndilo shambulizi la kwanza kubwa dhidi ya ubalozi wa kigeni
mjini Tripoli.
Labels:
HABARI MUHIMU
Subscribe to:
Posts (Atom)










