Language

Friday 25 January 2013

BURUDANI: MH. JERRY SLAA MGENI RASMI USIKU WA MASTAA WA FILAMU

Meya wa Ilala Jerry Slaa ndiye atakuwa mgeni rasmi kesho katika Tamasha la Usiku wa Mastaa wa Filamu litakalofanyika katika ukumbi wa kisasa wa burudani Dar Live, Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam. Katika tamasha hilo burudani mbalimbali kutoka kwa wasanii wa filamu na wale wa Bongo Fleva zitakuwepo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...