Language

Friday 8 March 2013

BURUDANI: KANYE WEST AGOMA NAFASI YA 7 ALIYOPEWA NA MTV KATIKA MTV HOTTEST MCs


Manager na C.E.O wa G.O.O.D MUSIC Rapper Kanye West,Amezungumza
kwenye Show ya Angie Martinez wa HOT 97 na Kuzungumza na DJ Enuff
Kuhusu Alivyojisikia yeye kukamata nafasi ya 7 kwenye orodha ya
Mtv Hottest MCs.....
Yeezy Amemueleza Enuff kuwa Anadhani Rapper Lil Wayne ndo MCs Mkali zaidi
kwenye game....amefurahi pia kuona Big Sean kuingia kweneye Top 5
but Yeye kama yeye alipaswa kuwepo kwenye Top 5 hiyo na sio namba 7.
Baba Huyo Mtarajiwa wa Kim Kardashian Ameendelea kusema; Hakuna
verse kali Mwaka Huu aliyoimba kwenye Remix ya wimbo wa Rihana
wa Diamonds...!
Pia Amemkumbusha DJ Enuff kuwa ni yeye ndie aliempa SWAY (Mwandaaji
wa MTV Hottest MCs) Kipindi cha kwanza cha Tv na Kisha akakata
Simu....!

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...